2 Nyakati Chapter 18 SWHULB Bible Verse Images

2 Nyakati 18 Bible Verse Pictures. Choose from a large collection of inspirational, motivational and encouraging Bible verses with pictures of nature. Download and share 2 Nyakati 18 inspirational Bible verse images. Bible verse pictures were created based on verses from the Swahili Unlocked Literal Bible (SWHULB). The Holy Bible in the Swahili language, Unlocked Literal Bible version.

Copyright © 2019 Door43 World Missions Community
Language: Kiswahili (Swahili)
Translation by: Door43 World Missions Community

Contributors: Alfred Danjuma, Bariki Malisa, Christina Abraham Kileo, Cloud Roman, Daniel Marura Chacha, Dina Mast, Dina Roman, Donald Shadarck Dutuyi, Emmanuel Masanja Mbaaga, Emmanuel Nyamalya, Erasmus Peter Malelo, Ev. Lazaro Chalomhola, Ezekiel Manala, Fred, Gabriel Gidale Merus, Gabriel Lwitakubi Mazige, James Makula, James Semnkai, Jeremiah Masasi, Jesse Katabi Masolwa, John Ojasi, Joyce Gilbert Masasi, Karen Riecks, Kazwanomo, Kennedy, Ker, Lameck Yakobo Tobotobo, Laurent Petro Malelo, Lazarus David Chalomhola, Makene Mafwele, Marco Luma Mahushi, Mathew Nkusa, Mathias William, Mr. James Semnkai .It., Musa Isaya Majama, Musa Luzali, Pastor John Kerim, Pastor Jordan, Philipo Mussa Kanwelle, Raphael Musa, Rev. Charles Mabisa, Rev. Yohana Batano, Robert Ndalahwa, Sadiki Kulwa, Samson Nungwana, Thobias Kazwanomo, Yohana Dutuyi, Yohana Magera, Zelote Loilang'akaki Lukumay, Rev. Erasmus Peter Malelo, Ev. Mathew Kazimoto, Rev. Dr. David Magoke, Rev. Elias Ndema, Rev. Alex Nyuri, Rev. Gungutu Elias, Rev. Lameck Tobotobo, Rev. Catherin D. Matia, Rev. Yohana S Dutuyi, Rev. Donald Dutuyi, GS. Andrew Gewe, Ev. Ezekiel Daudi, Rev. John Ndaluka, Ev. Moses Malugu, Rev. Moses Eliakim Ndege, Past. Isack A. Gomugo, Past. Mathias William, Rev. Yekonia M. Koko, Rev. Elisande Mhanga, Ev. James A. Makula.

This translation is made available to you under the terms of the Creative Commons Attribution Share-Alike license 4.0.

You have permission to share and redistribute this Bible translation in any format and to make reasonable revisions and adaptations of this translation, provided that:

  • You include the above copyright and source information.
  • If you make any changes to the text, you must indicate that you did so in a way that makes it clear that the original licensor is not necessarily endorsing your changes.
  • If you redistribute this text, you must distribute your contributions under the same license as the original.

Credits: In addition, we would like to give very special thanks to eBible.org for making Swahili Unlocked Literal Bible available in MySQL format.


2 Nyakati 18:1 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Sasa Yehoshafati alikauwa na utajiri mwingi na heshima kubwa; alifanya undugu na Ahabu mmoja wa watu wa familia yake akamuo binti yake.

2 Nyakati 18:2 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Baada ya miaka kadhaa, akashsuka chini kwa Ahabu huko Samaria. Ahabu akachinja kondoo na ngo'mbe wengi kwa ajili ya yake na watu waliokuwa pamoja naye. Ahabu pia akamshawishi kuivamia Ramothi-gileadi pamoja naye.

2 Nyakati 18:3 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ahabu, mfalme wa Israeli, akamwambia Yehoshafati, mfalme wa Yuda, “Utakwenda Ramothi-gileadi pamoja nami?” Yehoshafati akamjibu, “Mimi ni kama wewe, na watu wangu ni kama watu wako; tutakuwa pamoja nawe katika vita.”

2 Nyakati 18:4 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yehoshafati akamwambia mfalme wa Israeli, Tafadhali litafute neno la Yahwe kwanza kwa ajili ya jibu lako”

2 Nyakati 18:5 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha mfale wa Israeli akawakusanya manabii pamoja, wanauame mia nne, na akasema akwao, Tutaenda vitani Ramothi-gileadi, au nisiende?” Wakasema, “Vamia, kwa maana Mungu ataitia mkononi mwa mfalme.”

2 Nyakati 18:6 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini Yehoshafati akasema, “Hakuna nabii mwingine hapa wa Yahwe ambaye kwake tunapaswa kutafuta ushauri?”

2 Nyakati 18:7 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mfale wa Israeli akamwambia Yehoshafati, Bado kuna mtu mmoja amabaye kwake lazima tuutafute ushauri wa Yahwe, Mikaya mwana wa Imla, lakini namchukia kwa sababu yeye huwa hatabiri mema kamwe kuhusu mimi, bali kila mara maovu,” Lakini Yehoshafati akasema, “ Mfalme hapaswi kusema hivyo.”

2 Nyakati 18:8 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha mfalme wa Israeli akamwita akida na kusema, Haraka mlete Mikaya mwana wa Imla.”

2 Nyakati 18:9 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Sasa Ahabu mfalme wa Israeli na Yehoshafati mfalme wa Yuda walikuwa wamekaa kila mmoja katika kiti cha enzi, wamevalia kanzu zao, katika sehemu ya uwazi katika maingilia ya lango la Samaria, na manabii wote walikuwa wakitabairi mbele zao.

2 Nyakati 18:10 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Zedekia mwana wa Kenaani akajitengenezea pembe za chuma na kusema, Yahwe anasema hivi: Kwa kutumia hizi pembe mtawasukuma Waaramu hadi waangamie.”

2 Nyakati 18:11 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Manabii wote wakatabiri kitu kile kile, wakisema, “Vamia Raamothi-gleadi na shinda. kwa maana Yahwe ameutia kwenye mkono wa mfalme.”

2 Nyakati 18:12 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mjumbe aliyeenda kumuita Mikaya akasema kwake, akisema, “Sasa angalia, maneno ya manabii yanatangaza mambo mema kwa ajili ya mfalme kwa kinywa kimoja. Tafadhali maneno yako yawe kama maneno ya mmoja wao na sema mambo mema.”

2 Nyakati 18:13 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mikaya akajibu, “Kama Yahwe aishivyo, mimi nitasema kile mbacho Mungu anasema.”

2 Nyakati 18:14 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Alipokuja kwa mfalme, mfamle akamwambaia, “Mikaya, tutaenda Ramothi -gileadi kwa ajili ya vita, au la?” Mikaya akamjibu, “Vamia na utashinda! kwa maana utakuwa ushinda mkuu.”

2 Nyakati 18:15 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha mfalme akasema kwake, “Ni mara ngapi ninapaswa kukutaka kuapa kutoniambia kitu chochote sispokuwa kweli katika jina la Yahwe?

2 Nyakati 18:16 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa hiyo Mikaya akasema, “Niliwaoana Israeli wametawanyika ktika mlima, kama kondoo wasio na mchungaji, na Yahwe akasema, hawa hawana mchungaji. Ebu kila mtu arudi nyumbani kwake kwa amani.”

2 Nyakati 18:17 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa hiyo mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati, “Sikukuambia kwamba asingeweza kutabiri mema juu yangu, bali majanga tu?

2 Nyakati 18:18 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha Mikaya akasema, “Kwa hiyo ninyi nyote mnapashwa kulisikia neno la Yahwe: Nilimuon Yahwe amekaa juu ya kiti chake cha enzi, na majeshi yote ya mbinguni yalikauwa yamekaa mkono wake wa kulia na mkono wake wa kushoto.

2 Nyakati 18:19 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yahwe akasema, Ni nani atakayemrubuni Ahabu, mfalme wa Israeli, ili kwamba aende na kuanguka huko Ramothi-gileadi?' Mmoja alisema hivi na mwingine hivi.

2 Nyakati 18:20 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha roho ikaja moja kwa maja na kusimama mbele ya Yahwe na kusema, 'Nitamrubuni.' Yahwe akamwambia, 'Kivipi?'

2 Nyakati 18:21 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Roho ikajibu, “nitatoka nje na nitakuwa roho ya uongo katika vinywa vya manabii wake wote.' Yahwe akajibu, 'utamrubuni, na pia utafanikiwa. nenda sasa na fanya hivyo.'

2 Nyakati 18:22 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Sasa ona, Yahwe ameweka roho ya uongo katika midomo ya manabii wako hawa, na Yahwe ametangaza majanga kwa ajili yako.”

2 Nyakati 18:23 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha Zedekia mwana wa Kenaana, akaja, akampiga kofi mika juu ya shavu, na kusema, “Kwa njia gani Roho wa Yahwe alitoka kwangu ili aseme nawe?”

2 Nyakati 18:24 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mika akasema, Angalia, utalijua hilo katika siku hiyo, mtakapokimbia katika baadhi ya vyumba vya ndani kwa ajili ya kujificha.”

2 Nyakati 18:25 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mfalme wa Israeli akasema kwa baadhi ya watumishi, “ Enyi watu mkamateni Mikaya na mmpeleke hadi Amoni, mkuu wa mji na, na kwa Yoashi, mwanangu.

2 Nyakati 18:26 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Nanyi mtamwambia, 'Mfalme anasema: Mweke gerezanai huyu mtu na umlishe kwa mkate kiogo tu na maji kidogo tu, mpaka nitakaporudi salama.”

2 Nyakati 18:27 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha Mikaya akasema, “Kama utarudi salama, Yahwe hajasema nami.”Kisha akaongeza, “Sikiliza haya, enyi watu wote.”

2 Nyakati 18:28 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa hiyo Ahabu, mfalme wa Israeli, na Yehoshafati, mfalme wa Yuda, wakaenda juu ya Ramothi-giledi.

2 Nyakati 18:29 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mfalme wa Israeli akamwamabia Yehoshafati, “Nitajibadilisha mwenyewe na kwenda vitani, lakini wewe vaa mavazi yako ya kifalme.” Kwa hiyo mfalame wa Israeli akajibalisha, na wakaenda vitani.

2 Nyakati 18:30 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Sasa mfalme wa Aramu alikuwa amewaamuru maakida wa magari yake, akisema, Msiwavamie wanajeshsi wasio wa muhimu wala wanajeshsi muhimu. Badala yake, mvamieni mfalme wa Israeli pekee,”

2 Nyakati 18:31 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ikawa kwamba maakida wa magari walipomuona Yehoshafati wakasema, “Yule ni mfalme wa Israeli.” Wakageka kumzunguka wamvamie, lakini Yehoshafati akalia, na Yahwe akamsaidia. Mungu akawageza nyuma kutoka kwake.

2 Nyakati 18:32 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ikawa kwamba maakida wa magari walipoona ya kuwa hakuwa mfalme wa Israeli, wakarudi nyuma wasimfukuze.

2 Nyakati 18:33 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini mtu mmoja akauvuta upinde wake kwa kubahatisha na kumpiga mfalme wa Israeli kati kati ya maungio ya mavazi yake. Kisha Ahabu akamwambia dereva wa gari lake, “Geuza nyuma na nitoe nje ya mapigano, kwa maana nimejeruhiwa vibaya sana.”

2 Nyakati 18:34 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mapigano yakazidi kuwa makali siku hiyo, na mfalme wa israeli akashikiliwa katika gari lake kuwaelekea Waaramu hadi jioni. Muda jua lilipokaria kwenda chini, akafa.
Previous Chapter
« 2 Nyakati 17 (SWHULB)

Available Bible Translations

American Standard Version
2 Chronicles 18 (ASV) »
King James Version
2 Chronicles 18 (KJV) »
GOD’S WORD® (GW)
2 Chronicles 18 (GW) »
World English Bible
2 Chronicles 18 (WEB) »
Louis Segond 1910
2 Chroniques 18 (LSG) »
इंडियन रिवाइज्ड वर्जन - हिंदी
2 इतिहास 18 (HINIRV) »
ਭਾਰਤੀ ਸੋਧਿਆ ਹੋਇਆ ਸੰਸਕਰਣ - ਪੰਜਾਬੀ
2 ਇਤਿਹਾਸ 18 (PANIRV) »
ভারতীয় সংশোধিত সংস্করণ - বাংলা
2 বংশাৱলি 18 (BENIRV) »
இந்தியன் ரீவைஸ்டு வேர்ஷன் - தமிழ்
2 நாளாகமம் 18 (TAMIRV) »
इंडियन रिवाइज्ड वर्जन - मराठी
2 इतिहास 18 (MARIRV) »
ఇండియన్ రేవిజ్డ్ వెర్షన్ - తెలుగు
2 దినవృత్తాంతాలు 18 (TELIRV) »
ઇન્ડિયન રિવાયઝ્ડ વર્ઝન - ગુજરાતી
2 કાળવૃતાંત 18 (GUJIRV) »
ಭಾರತೀಯ ಪರಿಷ್ಕೃತ ಆವೃತ್ತಿ - ಕನ್ನಡ
2 ಪೂರ್ವಕಾಲವೃತ್ತಾಂತ 18 (KANIRV) »
الكتاب المقدس باللغة العربية، فان دايك
٢ أخبار 18 (AVD) »
תנ ך עברי מודרני
דברי הימים ב 18 (HEB) »
Bíblia Sagrada Português
2 Crônicas 18 (BSL) »
Kinh Thánh: Tiếng Việt
2 Sử Ký 18 (VIE) »
Reina Valera Antigua
2 Crónicas 18 (RVA) »
圣 经 简体中文和合本
历 代 志 下 18 (CUVS) »
聖 經 繁體中文和合本
歷 代 志 下 18 (CUVT) »
Bibla e Shenjtë
2 Kronikave 18 (ALB) »
Библия на русском
2 Паралипоменон 18 (RUSV) »
Українська Біблія
2 хроніки 18 (UKR) »
Szent Biblia - Magyar
2 Krónika 18 (KAR) »
Българска Библия
2 Летописи 18 (BULG) »
De Heilige Schrift
2 Kronieken 18 (NLD) »

2 Nyakati (SWHULB) Chapter Selection

SWHULB Book Selection List