1 Nyakati Chapter 21 SWHULB Bible Verse Images

1 Nyakati 21 Bible Verse Pictures. Choose from a large collection of inspirational, motivational and encouraging Bible verses with pictures of nature. Download and share 1 Nyakati 21 inspirational Bible verse images. Bible verse pictures were created based on verses from the Swahili Unlocked Literal Bible (SWHULB). The Holy Bible in the Swahili language, Unlocked Literal Bible version.

Copyright © 2019 Door43 World Missions Community
Language: Kiswahili (Swahili)
Translation by: Door43 World Missions Community

Contributors: Alfred Danjuma, Bariki Malisa, Christina Abraham Kileo, Cloud Roman, Daniel Marura Chacha, Dina Mast, Dina Roman, Donald Shadarck Dutuyi, Emmanuel Masanja Mbaaga, Emmanuel Nyamalya, Erasmus Peter Malelo, Ev. Lazaro Chalomhola, Ezekiel Manala, Fred, Gabriel Gidale Merus, Gabriel Lwitakubi Mazige, James Makula, James Semnkai, Jeremiah Masasi, Jesse Katabi Masolwa, John Ojasi, Joyce Gilbert Masasi, Karen Riecks, Kazwanomo, Kennedy, Ker, Lameck Yakobo Tobotobo, Laurent Petro Malelo, Lazarus David Chalomhola, Makene Mafwele, Marco Luma Mahushi, Mathew Nkusa, Mathias William, Mr. James Semnkai .It., Musa Isaya Majama, Musa Luzali, Pastor John Kerim, Pastor Jordan, Philipo Mussa Kanwelle, Raphael Musa, Rev. Charles Mabisa, Rev. Yohana Batano, Robert Ndalahwa, Sadiki Kulwa, Samson Nungwana, Thobias Kazwanomo, Yohana Dutuyi, Yohana Magera, Zelote Loilang'akaki Lukumay, Rev. Erasmus Peter Malelo, Ev. Mathew Kazimoto, Rev. Dr. David Magoke, Rev. Elias Ndema, Rev. Alex Nyuri, Rev. Gungutu Elias, Rev. Lameck Tobotobo, Rev. Catherin D. Matia, Rev. Yohana S Dutuyi, Rev. Donald Dutuyi, GS. Andrew Gewe, Ev. Ezekiel Daudi, Rev. John Ndaluka, Ev. Moses Malugu, Rev. Moses Eliakim Ndege, Past. Isack A. Gomugo, Past. Mathias William, Rev. Yekonia M. Koko, Rev. Elisande Mhanga, Ev. James A. Makula.

This translation is made available to you under the terms of the Creative Commons Attribution Share-Alike license 4.0.

You have permission to share and redistribute this Bible translation in any format and to make reasonable revisions and adaptations of this translation, provided that:

  • You include the above copyright and source information.
  • If you make any changes to the text, you must indicate that you did so in a way that makes it clear that the original licensor is not necessarily endorsing your changes.
  • If you redistribute this text, you must distribute your contributions under the same license as the original.

Credits: In addition, we would like to give very special thanks to eBible.org for making Swahili Unlocked Literal Bible available in MySQL format.


1 Nyakati 21:1 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Adui akainuka dhidi ya Israeli na kumchochea Daudi kuhesabu Israeli.

1 Nyakati 21:2 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Daudi akamwabia Yoabu na kwa wakuu wa Jeshi, “Nenda, wahesabu watu wa Israeli kutoka Beerisheba mpaka Dani na uniletee taarifa, ilinijue idadi yao.”

1 Nyakati 21:3 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yoabu akasema, “Yahweh na afanya jeshi lake mara mia zaidi ya lilivyo. Lakini bwana wangu mfalme, kwani wote hawamtumikii bwana wangu? kwa nini bwana wangu anataka hili? Kwa nini ulete hatia kwa Israeli?”

1 Nyakati 21:4 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini neno la mfalme halikubadilika kwa Yoabu. Hivyo Yoabu akaondoka na kwenda Israeli yote. Kisha akarudi Yerusalemu.

1 Nyakati 21:5 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yoabu akatoa taarifa ya idadi ya jumla ya wanaume wa mapambano kwa Daudi. Kulikuwa ndani ya Israeli wanaume 1, 100, 000 walio beba upanga. Yuda peke yake kulikuwa na wanajeshi 470, 000.

1 Nyakati 21:6 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini Levi na Benjamini hawaku hesabiwa miongoni mwao, kwa kuwa amri ya mfalme ilimuudhi Yoabu.

1 Nyakati 21:7 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mungu alikwazika na hili tendo, akashambulia Israeli.

1 Nyakati 21:8 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Daudi akamwambia Mungu, “Nimetenda dhambi kubwa kwa kufanya hili. Sasa chukua hatia ya mtumishi wako, nimetenda kwa ujinga sana.”

1 Nyakati 21:9 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yahweh akamwambia Gadi, nabii wa Daudi,

1 Nyakati 21:10 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
“Nenda useme kwa Daudi, “Hili ndilo Yahweh anasema: Ninakupa maamuzi matatu. Chagua moja wapo.”

1 Nyakati 21:11 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hivyo Gadi akaenda kwa Daudi na kusema, “Yahweh anasema hivi, 'Chagua moja ya haya:

1 Nyakati 21:12 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
kati ya miaka mitatu ya ukame, miezi mitatu unakimbizwa na adui zako na kupatwa na upanga wao, au siku tatu za upanga wa Yahweh, yani, pigo katika nchi, malaika wa Yahweh akiharibu nchi yote ya Israeli.' Hivyo sasa, amua jibu gani ni mpelekee yeye aliye nituma.”

1 Nyakati 21:13 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha Daudi akamwambia Gadi, “Nipo katika shida kubwa sana. Acha nianguke katika mikono ya Yahweh kuliko kuangukia mikono ya mwanadamu, sababu matendo yake ya rehema ni makubwa mno.”

1 Nyakati 21:14 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hivyo Yahweh akatuma pigo Israeli, na watu elfu sabini wakafa.

1 Nyakati 21:15 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mungu akatuma malaika Yerusalemu kuiharibu. Wakati alipo taka kuiharibu, Yahweh akatazama na kubadili nia yake kuhusu shambulio. Akasema kwa malaika wa uharibifu, “Imetosha! Rudisha mkono wako.” Wakati huo malaika wa Yahweh alikua amesimama eneo la kupeta la Orinani Myebusi.

1 Nyakati 21:16 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Daudi akatazama juu na kuona malaika wa Yahweh amesimama kati ya nchi na mbingu, akiwa na upanga mkonono mwake akiuelekeza Yerusalemu. Kisha Daudi na wazee, wakiwa wamevaa magunia, wakalala chini uso ukiwa kwenye ardhi.

1 Nyakati 21:17 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Daudi akamwambia Mungu, “Sio mimi niliye amuru jeshi kuhesabiwa? Nimefanya hichi kitu kiovu. Lakini hawa kondoo, wamefanya nini? Yahweh Mungu wangu! Acha mkono wako unipige mimi na familia yangu, lakini usiache pigo iliendelee kubaki kwa watu wako.”

1 Nyakati 21:18 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hivyo malaika wa Yahweh akamuamuru Gadi kusema kwa Daudi, kwamba Daudi aende juu na kujenga madhabahu ya Yahweh katika eneo la kupeta la Oranani Myebusi.

1 Nyakati 21:19 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Daudi akaenda kama Gadi alivyo muelekeza cha kufanya kwa jina la Yahweh.

1 Nyakati 21:20 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wakati Orinani akipepeta ngano, aligeuka na kumuona malaika. Yeye na wana wake wanne wakajificha.

1 Nyakati 21:21 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wakati Daudi alipo kuja kwa Orinani, Orinani akatazama na kumuona Daudi. Aliacha eneo la kupeta na akamuinamia Daudi uso wake ukiwa kwenye ardhi.

1 Nyakati 21:22 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha Daudi akasema kwa Orinani, “Niuzie hili eneo la kupeta, iliniweze kumjenga Yahweh madhabahu. Nitalipa gharama yote, ili pigo liondolewe kwa watu.”

1 Nyakati 21:23 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Orinani wakwambia Daudi, “Chukuwa kama lako, bwana wangu mfalme. Fanya nalo linalo kupendeza. Tazama, nitakupa ng'ombe kwa sadaka ya kuteketeza, vifaa vya kupeta kwa ajili ya mbao, na ngano kwa sadaka ya mbegu; nitakupa yote wewe.”

1 Nyakati 21:24 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mfalme Daudi akamwambia Orinani, “Hapana, nina sisitiza kununua kwa bei yote. Sitachukua kilicho chako na kutoa kama sadaka ya kuteketeza kwa Yahweh kama haitanighramu chochote.”

1 Nyakati 21:25 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hivyo Daudi akalipa shekeli mia sita ya dhahabu kwa hilo eneo.

1 Nyakati 21:26 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Daudi akajenga madhabahu ya Yahweh pale na kutoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za ushirika. Akamuita Yahweh, aliye mjibu kwa moto kutoka mbinguni kwenye madhabahu ya sadaka za kuteketezwa.

1 Nyakati 21:27 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha Yahweh akampa agizo malaika, na malaika akarudisha upanga kwenye mfuko wake.

1 Nyakati 21:28 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Daudi alipo ona kuwa Yahweh amemjibu kwenye eneo la kupeta la Orinani Myebusi, alitoa dhabihu pale pale kwa wakati huo.

1 Nyakati 21:29 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Sasa kwa wakati huo, hema la kuabudia la Yahweh, ambalo Musa alilitengeneza nyikani, na madhabahu ya sadaka za kuteketezwa, zilikuwa sehemu ya juu huko Gibeoni.

1 Nyakati 21:30 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Walakini, Daudi hakuweza kwenda huko kumuliza Mungu muelekeo, kwa kuwa alikuwa anaogopa upanga wa malaika wa Yahweh.
Previous Chapter
« 1 Nyakati 20 (SWHULB)

Available Bible Translations

American Standard Version
1 Chronicles 21 (ASV) »
King James Version
1 Chronicles 21 (KJV) »
GOD’S WORD® (GW)
1 Chronicles 21 (GW) »
World English Bible
1 Chronicles 21 (WEB) »
Louis Segond 1910
1 Chroniques 21 (LSG) »
इंडियन रिवाइज्ड वर्जन - हिंदी
1 इतिहास 21 (HINIRV) »
ਭਾਰਤੀ ਸੋਧਿਆ ਹੋਇਆ ਸੰਸਕਰਣ - ਪੰਜਾਬੀ
1 ਇਤਿਹਾਸ 21 (PANIRV) »
ভারতীয় সংশোধিত সংস্করণ - বাংলা
1 বংশাৱলি 21 (BENIRV) »
இந்தியன் ரீவைஸ்டு வேர்ஷன் - தமிழ்
1 நாளாகமம் 21 (TAMIRV) »
इंडियन रिवाइज्ड वर्जन - मराठी
1 इतिहास 21 (MARIRV) »
ఇండియన్ రేవిజ్డ్ వెర్షన్ - తెలుగు
1 దినవృత్తాంతాలు 21 (TELIRV) »
ઇન્ડિયન રિવાયઝ્ડ વર્ઝન - ગુજરાતી
1 કાળવૃતાંત 21 (GUJIRV) »
ಭಾರತೀಯ ಪರಿಷ್ಕೃತ ಆವೃತ್ತಿ - ಕನ್ನಡ
1 ಪೂರ್ವಕಾಲವೃತ್ತಾಂತ 21 (KANIRV) »
الكتاب المقدس باللغة العربية، فان دايك
١ أخبار 21 (AVD) »
תנ ך עברי מודרני
דברי הימים א 21 (HEB) »
Bíblia Sagrada Português
1 Crônicas 21 (BSL) »
Kinh Thánh: Tiếng Việt
1 Sử Ký 21 (VIE) »
Reina Valera Antigua
1 Crónicas 21 (RVA) »
圣 经 简体中文和合本
历 代 志 上 21 (CUVS) »
聖 經 繁體中文和合本
歷 代 志 上 21 (CUVT) »
Bibla e Shenjtë
1 Kronikave 21 (ALB) »
Библия на русском
1 Паралипоменон 21 (RUSV) »
Українська Біблія
1 хроніки 21 (UKR) »
Szent Biblia - Magyar
1 Krónika 21 (KAR) »
Българска Библия
1 Летописи 21 (BULG) »
De Heilige Schrift
1 Kronieken 21 (NLD) »

1 Nyakati (SWHULB) Chapter Selection

SWHULB Book Selection List