1 Nyakati 12 SWHULB
1 Nyakati Chapter 12 SWHULB Bible Verse Images
Copyright © 2019 Door43 World Missions Community
Language: Kiswahili (Swahili)
Translation by: Door43 World Missions Community
Contributors: Alfred Danjuma, Bariki Malisa, Christina Abraham Kileo, Cloud Roman, Daniel Marura Chacha, Dina Mast, Dina Roman, Donald Shadarck Dutuyi, Emmanuel Masanja Mbaaga, Emmanuel Nyamalya, Erasmus Peter Malelo, Ev. Lazaro Chalomhola, Ezekiel Manala, Fred, Gabriel Gidale Merus, Gabriel Lwitakubi Mazige, James Makula, James Semnkai, Jeremiah Masasi, Jesse Katabi Masolwa, John Ojasi, Joyce Gilbert Masasi, Karen Riecks, Kazwanomo, Kennedy, Ker, Lameck Yakobo Tobotobo, Laurent Petro Malelo, Lazarus David Chalomhola, Makene Mafwele, Marco Luma Mahushi, Mathew Nkusa, Mathias William, Mr. James Semnkai .It., Musa Isaya Majama, Musa Luzali, Pastor John Kerim, Pastor Jordan, Philipo Mussa Kanwelle, Raphael Musa, Rev. Charles Mabisa, Rev. Yohana Batano, Robert Ndalahwa, Sadiki Kulwa, Samson Nungwana, Thobias Kazwanomo, Yohana Dutuyi, Yohana Magera, Zelote Loilang'akaki Lukumay, Rev. Erasmus Peter Malelo, Ev. Mathew Kazimoto, Rev. Dr. David Magoke, Rev. Elias Ndema, Rev. Alex Nyuri, Rev. Gungutu Elias, Rev. Lameck Tobotobo, Rev. Catherin D. Matia, Rev. Yohana S Dutuyi, Rev. Donald Dutuyi, GS. Andrew Gewe, Ev. Ezekiel Daudi, Rev. John Ndaluka, Ev. Moses Malugu, Rev. Moses Eliakim Ndege, Past. Isack A. Gomugo, Past. Mathias William, Rev. Yekonia M. Koko, Rev. Elisande Mhanga, Ev. James A. Makula.
This translation is made available to you under the terms of the Creative Commons Attribution Share-Alike license 4.0.
You have permission to share and redistribute this Bible translation in any format and to make reasonable revisions and adaptations of this translation, provided that:
- You include the above copyright and source information.
- If you make any changes to the text, you must indicate that you did so in a way that makes it clear that the original licensor is not necessarily endorsing your changes.
- If you redistribute this text, you must distribute your contributions under the same license as the original.
Credits: In addition, we would like to give very special thanks to eBible.org for making Swahili Unlocked Literal Bible available in MySQL format.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hawa walikuwa wanaume walio kuja kwa Daudi huko Zikilagi, wakati akiwa bado amefukuzwa katika uwepo wa Sauli mwana wa Kishi. Walikuwa miongoni mwa wanajeshi, wasaidizi wake katika mapambano.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Walikuwa wana upinde na waliweza kutumia mkono wa kuume na wakushoto kurusha mawe na manati na kupiga mishale kutoka kwenye upinde. Walikuwa Wabenjamini, ndugu wa kabila moja na Sauli.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kiongozi alikuwa Ahi Eza, halafu Yoashi, Wana wote wa Shemaa Mgibeathi. Kulikuwa na Yezieli na Peleti, wana wa Azimavethi. Kulikuwa pia na Beraka, Yehu Waanathothi,
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ishimaia Mgibeoni, mwanajeshi kati ya wale thelathini ( na kiongozi wa wale thelathini); Yeremia, Yahazieli, Yohana, Yozabadi Wagederathi,
Square Portrait Landscape 4K UHD
Eluzai, Yerimothi, Bealia, Shemaria, Shefatia Waharufi,
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wakorahi ni Elkana, Ishia, Azareli, Yoeza, Yashobeamu, na
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yoela na Zebadia, wana wa Yeroham wa Gedori.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Baadhi ya Wagadi walijiunga na Daudi katika ngome iliyo nyikani. Walikuwa wanaume wapiganaji, waliofundishwa kwa mapambano, walioweza kumudu ngao na mkuki; ambao nyuso zao zilikuwa kali kama za simba. Walikuwa wepesi kwenye milima kama swala.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kulikuwa na Eza kiongozi, Obadia wapili, Eliabu watatu,
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wana wa Gadi walikuwa viongozi wa jeshi. Wamwisho aliongoza mia moja, na mkubwa aliongoza elfu moja.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Walikatisha Yordani kwa mwezi wa kwanza, wakati vijito vyake vilipofurika, na kuwafukuza wote wanaoishi katika mabonde, pande zote za mashariki na magharibi.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Baadhi ya wanaume wa Benjamini na Yuda walikuja kwenye ngome kwa Daudi.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Daudi alienda nje kuwasalimu na kuwahutubia: “kama mmekuja kwa amani kunisaidia, mnaweza kujiunga nami. Lakini kama mmekuja kunisaliti kwa maadui zangu, Ee Mungu wa mababu zetu awaone na kuwakemea, tangu sijafanya kosa.”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha roho ikaja juu ya Amasai, ambaye alikuwa kiongozi wa wale thelathini. Amasai alisema, “Sisi ni wako, Daudi. Sisi tupo upande wako, mwana wa Yesse. na amani iwe juu ya yeyote atakaye kusaidia. Kuwa Mungu wako anakusaidia.” Kisha Daudi akawapokea na kuwafanya wakuu wa watu wake.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Baadhi kutoka kwa Manase pia wakamwendea Daudi alipokuja na Wafilisti dhidi ya Sauli katika pambano. Lakini hawakuwasaidia Wafilisti kwasababu mabwana wa Wafilisti walishauriana na wakamfukuza Daudi. Walisema, “Atamwendea Bwana wake Sauli na kuhatarisha maisha yetu.”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Alipokwenda kwa Zikilagi, wanaume wa Manase walioungana nae walikuwa Adina, Yozabadi, Yediaeli, Yozabadi, Elihu, na Zilethai, viongozi wa maelfu wa Manase.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Walimsaidia Daudi kupigana na kikundi cha wezi, maana walikuwa wanaume wa mapambano. Baadae walikuwa wakuu katika jeshi.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Siku hadi siku, wanaume walikuja kwa Daudi kumsaidia, mpaka wakawa jeshi kubwa, kama jeshi la Mungu.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hii ni kumbukumbu ya wanajeshi wa vita, walio kuja kwa Daudi Hebroni, kuupindua ufalme wa Sauli kwake, ilikutimiza neno la Yahweh.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kutoka Yuda walio beba ngao na mkuki ni 6, 800, tayari kwa vita.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kutoka kwa Wasimeoni walikuwa 7, 100 wanaume wa mapambano.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kutoka kwa Walawi kulikuwa na wanaume wa mapambano 4, 600.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yehoiada alikuwa kiongozi wa uzao wa Aruni, na kwa yeye walikuwa 3, 700.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa Zadoki, kijana, mwenye nguvu, na mjasiri, walikuwa viongozi ishirini na mbili kwa familia ya baba yake.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kutoka kwa Benjamini, kabila la Sauli, walikuwa elfu tatu. Wengi wao walibaki waaminifu kwa Sauli mpaka muda huu.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kutoka kwa Waefraimu palikuwa na wanume wa mapambano 20, 800, wanaume maharufu kwenye familia za baba zao.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kutoka kabila nusu la Manase palikuwa na wanaume elfu kumi na nane maharufu walio kuja kufanya Daudi mfalme.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kutoka kwa Isakari, palikuwa na viongozi mia mbili walio kuwa na ufahamu wa nyakati na walijua nini Israeli ya paswa kufanya. Ndugu zao wote walikuwa chini ya amri yao.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kutoka Zebuloni palikuwa na wanaume elfu hamsini wa mapambano, tayari kwa vita, na silaha zote za vita, na tayari kutoa uwaminifu usio pungua.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kutoka kwa Naftali palikuwa na askari elfu moja, na pamoja nao wanaume elfu thelathini na saba wenye ngao na mikuki.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kutoka kwa Wadani palikuwa na wanaume 28, 600 wameandaliwa kwa ajili ya pambano.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kutoka kwa Asheri palikuwa na wanaume elfu arobaini wameandaliwa kwa pambano.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kutoka upande wa pili wa Yordani, kutoka kwa Warubeni, Wagadi, na nusu kabila la Manase, palikuwa na wanaume 120, 000 wameandaliwa na silaha za kila namna kwa ajili ya pambano.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wanajeshi hawa wote, waliandaliwa kwa pambano, kuja Hebroni kwa dhumuni maalumu la kumfanya Daudi mfalme wa Israeli yote. Israeli yote ilikubaliana na kumfanya Daudi mfalme.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Walikuwa na Daudi siku tatu, kula na kunywa, kwa kuwa ndugu zao waliwapa mahitaji ya kwenda nayo.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa kuongezea, wao walio kuwa karibu nao, kwa umbali wa Isakari na Zebuloni na Naftali, walileta mkate kwa punda, ngamia, ng'ombe, na keki, mvinyo, mafuta, ng'ombe, na kondoo, kwa kuwa Israeli walikuwa wana sherehekea
Available Bible Translations
1 Chronicles 12 (ASV) »
1 Chronicles 12 (KJV) »
1 Chronicles 12 (GW) »
1 Chronicles 12 (BSB) »
1 Chronicles 12 (WEB) »
1 Chroniques 12 (LSG) »
1 Chronik 12 (LUTH1912) »
1 इतिहास 12 (HINIRV) »
1 ਇਤਿਹਾਸ 12 (PANIRV) »
1 বংশাৱলি 12 (BENIRV) »
1 நாளாகமம் 12 (TAMIRV) »
1 इतिहास 12 (MARIRV) »
1 దినవృత్తాంతాలు 12 (TELIRV) »
1 કાળવૃતાંત 12 (GUJIRV) »
1 ಪೂರ್ವಕಾಲವೃತ್ತಾಂತ 12 (KANIRV) »
١ أخبار 12 (AVD) »
דברי הימים א 12 (HEB) »
1 Crônicas 12 (BSL) »
1 Sử Ký 12 (VIE) »
1 Crónicas 12 (RVA) »
1 Cronache 12 (RIV) »
历 代 志 上 12 (CUVS) »
歷 代 志 上 12 (CUVT) »
1 Kronikave 12 (ALB) »
1 Krönikeboken 12 (SV1917) »
1 Паралипоменон 12 (RUSV) »
1 хроніки 12 (UKR) »
1 Krónika 12 (KAR) »
1 Летописи 12 (BULG) »
歴代志上 12 (JPN) »
1 Krønikebok 12 (NORSK) »
1 Kronik 12 (POLUBG) »
Taariikhdii Kowaad 12 (SOM) »
1 Kronieken 12 (NLD) »
1 Krønikebog 12 (DA1871) »