1 Nyakati 11 SWHULB
1 Nyakati Chapter 11 SWHULB Bible Verse Images
Copyright © 2019 Door43 World Missions Community
Language: Kiswahili (Swahili)
Translation by: Door43 World Missions Community
Contributors: Alfred Danjuma, Bariki Malisa, Christina Abraham Kileo, Cloud Roman, Daniel Marura Chacha, Dina Mast, Dina Roman, Donald Shadarck Dutuyi, Emmanuel Masanja Mbaaga, Emmanuel Nyamalya, Erasmus Peter Malelo, Ev. Lazaro Chalomhola, Ezekiel Manala, Fred, Gabriel Gidale Merus, Gabriel Lwitakubi Mazige, James Makula, James Semnkai, Jeremiah Masasi, Jesse Katabi Masolwa, John Ojasi, Joyce Gilbert Masasi, Karen Riecks, Kazwanomo, Kennedy, Ker, Lameck Yakobo Tobotobo, Laurent Petro Malelo, Lazarus David Chalomhola, Makene Mafwele, Marco Luma Mahushi, Mathew Nkusa, Mathias William, Mr. James Semnkai .It., Musa Isaya Majama, Musa Luzali, Pastor John Kerim, Pastor Jordan, Philipo Mussa Kanwelle, Raphael Musa, Rev. Charles Mabisa, Rev. Yohana Batano, Robert Ndalahwa, Sadiki Kulwa, Samson Nungwana, Thobias Kazwanomo, Yohana Dutuyi, Yohana Magera, Zelote Loilang'akaki Lukumay, Rev. Erasmus Peter Malelo, Ev. Mathew Kazimoto, Rev. Dr. David Magoke, Rev. Elias Ndema, Rev. Alex Nyuri, Rev. Gungutu Elias, Rev. Lameck Tobotobo, Rev. Catherin D. Matia, Rev. Yohana S Dutuyi, Rev. Donald Dutuyi, GS. Andrew Gewe, Ev. Ezekiel Daudi, Rev. John Ndaluka, Ev. Moses Malugu, Rev. Moses Eliakim Ndege, Past. Isack A. Gomugo, Past. Mathias William, Rev. Yekonia M. Koko, Rev. Elisande Mhanga, Ev. James A. Makula.
This translation is made available to you under the terms of the Creative Commons Attribution Share-Alike license 4.0.
You have permission to share and redistribute this Bible translation in any format and to make reasonable revisions and adaptations of this translation, provided that:
- You include the above copyright and source information.
- If you make any changes to the text, you must indicate that you did so in a way that makes it clear that the original licensor is not necessarily endorsing your changes.
- If you redistribute this text, you must distribute your contributions under the same license as the original.
Credits: In addition, we would like to give very special thanks to eBible.org for making Swahili Unlocked Literal Bible available in MySQL format.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha Waisraeli wote walikuja Hebroni kwa Daudi na kusema, “Angalia, sisi ni nyama na mifupa yako.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Katika wakati uliopita, Sauli alipoo kuwa mfalme juu yetu, ni wewe uliye ongoza jeshi la Israeli. Yahweh Mungu wako alisema kwako, 'utawachunga watu wangu wa Isaraeli, na utakuwa mtawala wa watu wangu wa Israeli”'.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwaiyo wazee wote wa Israeli wakamjia mfalme huko Hebroni, na Daudi akafanya agano nao mbele ya Yahweh. Wakampaka mafuta Daudi kuwa mfalme wa Israeli. Kwa namna hii, neno la Yahweh lilo nenwa na Samweli likawa kweli.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Daudi na Israeli yote wakaenda Yerusalemu (yani, Yebusi). Sasa Wayebusi, wakazi wa nchi, walikuwa pale.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wakazi wa yebusi wakamwabia Daudi, “Hautakuja humu.” Lakini Daudi alichukuwa ngome ya Sayuni, mji wa Daudi.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Daudi alisema, “Yeyote atakaye washambulia Wayebusi wa kwanza atakuwa mkuu wa jeshi” kwaiyo Yoabu mwana wa Zeruia akashambulia wa kwanza, hivyo akafanywa mkuu wa jeshi.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Daudi akaanza kuishi katika hiyo ngome. Kwaiyo wakaiita mji wa Daudi.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Akaimarisha mji kutoka Milo na hadi mpaka ukuta unao zunguka. Yoabu akaimairisha mji wote uliyo baki.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Daudi akawa mkuu na mkuu kwa sababu Yahweh wa Majeshi alikuwa naye.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hawa walikuwa viongozi Daudi aliyo kuwa nao, waliyo jionyesha imara katika ufalme wake, pamoja na Israeli, kumfanya mfalme, kutii neno la Yahweh kuhusu Israeli.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hii ni orodha ya wanajeshi shupavu wa Daudi. Yashobeami, mwana wa Mhakimoni, alikuwa mkuu wa kikosi cha thelathini. Aliwaua wanaume mia tatu na mkuki wake katika sehemu moja.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Baada ya yeye alikuwa Eleazari mwana wa Dodo, Mahohi, aliyekuwa mmoja wa wanaume watatu hodari.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Alikuwa na Daudi huko Pasidamimu, na pale Wafilisti wakakusanyika pamoja kwa mapambano, ambapo palikuwa na uwanja wa ngano na jeshi liliwakimbia Wafilisti.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Walisimama katikati ya uwanja. Wakautetea na kuwakata Wafilisti na Yahweh akawaokoa na ushindi mkubwa.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha watatu wa viongozi thelathini wakashuka chini kwenye mwamba wa Daudi, katika pango la Adulamu. Jeshi la Wafilisti walieka kambi katika bonde la Refaim.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa wakati huo Daudi alikuwa katika ngome yake, pangoni, Wafilisti walikita kambi yao Bethilehemu.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Daudi alikuwa na kiu ya maji na akasema, “Laiti mtu akanipatia maji ya kunywa kutoka kisima kilicho Bethilehemu, kisima kilicho pembeni mwa lango!”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hawa wanaume hodari watatu wakatoboa kupita jeshi la Wafilisti na kuchota maji kwenye kisima cha Bethilehemu, kisima pembeni mwa lango. Wakachukuwa maji na kumletea Daudi, lakini alikataa kunywa. Badala yake, akamwaga chini kwa Yahweh.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha akasema, “Yahweh, iwe mbali na mimi, kwamba ni yanywe haya maji. Je ninywe damu ya wanaume walio hatarisha maisha yao?” Kwa sababu wameeka maisha ya hatarini, akakataa kunywa. Haya ni mambo wanaume hodari watatu walio fanya.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Abishai kaka wa Yoabu, alikuwa kiongozi wa watatu. Alitumia mkuki wake dhidi ya watu mia tatu na kuwaua. Ametajwa pamoja na wale watatu.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kati ya wale watatu, yeye alipewa heshima mara mbili na akawa kiongozi wao. Japo hakuwa mmoja wa miongoni mwao.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Benaia mwana wa Yehoiada alikuwa mwanaume mwenye nguvu aliye fanya mambo makuu. Aliua wana wawili wa Arieli wa Moabu. Pia alishuka chini ya shimo na kumuua simba wakati theluji ikianguka.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Alimua hadi Mmisri, mwanaume mwenye mita mbili na theluthi moja. Mmisri alikuwa na mkuki kama gongo la mshonaji, lakini alimfuata chini na fimbo tu. Akakamata mkuki katika mkono wa Mmisri na kumuua na mkuki wake.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Benaia mwana wa Yehoiada alifanya haya matukio, na akatajwa miongoni mwa wale wanaume hodari watatu.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Alisifika zaidi ya wale wanajeshi thelathini kwa ujumla, lakini hakuwa pewa hadhi ya wale wanajeshi watatu hodari. Daudi alimueka kiongozi wa walinzi wake.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wanaume hodari walikuwa Asaheli kaka wa Yoabu, Elhanani mwana wa Dodo wa Bethilehemu,
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ira mwana wa Ikeshi Mtekoi, Abi Eza Manathothi,
Square Portrait Landscape 4K UHD
Maharai Mnetofathi, Heledi mwana wa Baana Mnetofathite,
Square Portrait Landscape 4K UHD
Itai mwana wa Ribai wa Gibea uzao wa Benjamini, Benaia Mpirathoni,
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hurai wa mabonde ya Gaashi, Abieli Marbathi,
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mwana wa Hashemu Mgizoni, Yonathani mwana wa Shagee Mhararite,
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ahiamu mwana wa Sacari Mhararite, Elifali mwana wa Uri,
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yoeli kaka wa Nathani, Mibhari mwana wa Hagiri,
Square Portrait Landscape 4K UHD
Zeleki Mamoni, Naharai Mberothi ( mbeba ngao ya Yoabu mwana wa Zeruia),
Square Portrait Landscape 4K UHD
Adina mwana wa Shiza Mreubeni ( kiongozi wa Wareubeni) na thelathini pamoja nae,
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hanani mwana wa Maaka, na Yoshafati Mmithini,
Square Portrait Landscape 4K UHD
Uzia Mashiterathi, Shama na Yeieli wana wa Hothamu Waaroeri,
Square Portrait Landscape 4K UHD
Jediaeli mwana wa Shimri, Joha ( kaka yake Mtize),
Square Portrait Landscape 4K UHD
Elieli Mmahavi, Yeribai na Yoshavia mwana wa Elnaamu, Ithima Mmoabi,
Available Bible Translations
1 Chronicles 11 (ASV) »
1 Chronicles 11 (KJV) »
1 Chronicles 11 (GW) »
1 Chronicles 11 (BSB) »
1 Chronicles 11 (WEB) »
1 Chroniques 11 (LSG) »
1 Chronik 11 (LUTH1912) »
1 इतिहास 11 (HINIRV) »
1 ਇਤਿਹਾਸ 11 (PANIRV) »
1 বংশাৱলি 11 (BENIRV) »
1 நாளாகமம் 11 (TAMIRV) »
1 इतिहास 11 (MARIRV) »
1 దినవృత్తాంతాలు 11 (TELIRV) »
1 કાળવૃતાંત 11 (GUJIRV) »
1 ಪೂರ್ವಕಾಲವೃತ್ತಾಂತ 11 (KANIRV) »
١ أخبار 11 (AVD) »
דברי הימים א 11 (HEB) »
1 Crônicas 11 (BSL) »
1 Sử Ký 11 (VIE) »
1 Crónicas 11 (RVA) »
1 Cronache 11 (RIV) »
历 代 志 上 11 (CUVS) »
歷 代 志 上 11 (CUVT) »
1 Kronikave 11 (ALB) »
1 Krönikeboken 11 (SV1917) »
1 Паралипоменон 11 (RUSV) »
1 хроніки 11 (UKR) »
1 Krónika 11 (KAR) »
1 Летописи 11 (BULG) »
歴代志上 11 (JPN) »
1 Krønikebok 11 (NORSK) »
1 Kronik 11 (POLUBG) »
Taariikhdii Kowaad 11 (SOM) »
1 Kronieken 11 (NLD) »
1 Krønikebog 11 (DA1871) »