Mwanzo Chapter 49 SWHULB Bible Verse Images

Mwanzo 49 Bible Verse Pictures. Choose from a large collection of inspirational, motivational and encouraging Bible verses with pictures of nature. Download and share Mwanzo 49 inspirational Bible verse images. Bible verse pictures were created based on verses from the Swahili Unlocked Literal Bible (SWHULB). The Holy Bible in the Swahili language, Unlocked Literal Bible version.

Copyright © 2019 Door43 World Missions Community
Language: Kiswahili (Swahili)
Translation by: Door43 World Missions Community

Contributors: Alfred Danjuma, Bariki Malisa, Christina Abraham Kileo, Cloud Roman, Daniel Marura Chacha, Dina Mast, Dina Roman, Donald Shadarck Dutuyi, Emmanuel Masanja Mbaaga, Emmanuel Nyamalya, Erasmus Peter Malelo, Ev. Lazaro Chalomhola, Ezekiel Manala, Fred, Gabriel Gidale Merus, Gabriel Lwitakubi Mazige, James Makula, James Semnkai, Jeremiah Masasi, Jesse Katabi Masolwa, John Ojasi, Joyce Gilbert Masasi, Karen Riecks, Kazwanomo, Kennedy, Ker, Lameck Yakobo Tobotobo, Laurent Petro Malelo, Lazarus David Chalomhola, Makene Mafwele, Marco Luma Mahushi, Mathew Nkusa, Mathias William, Mr. James Semnkai .It., Musa Isaya Majama, Musa Luzali, Pastor John Kerim, Pastor Jordan, Philipo Mussa Kanwelle, Raphael Musa, Rev. Charles Mabisa, Rev. Yohana Batano, Robert Ndalahwa, Sadiki Kulwa, Samson Nungwana, Thobias Kazwanomo, Yohana Dutuyi, Yohana Magera, Zelote Loilang'akaki Lukumay, Rev. Erasmus Peter Malelo, Ev. Mathew Kazimoto, Rev. Dr. David Magoke, Rev. Elias Ndema, Rev. Alex Nyuri, Rev. Gungutu Elias, Rev. Lameck Tobotobo, Rev. Catherin D. Matia, Rev. Yohana S Dutuyi, Rev. Donald Dutuyi, GS. Andrew Gewe, Ev. Ezekiel Daudi, Rev. John Ndaluka, Ev. Moses Malugu, Rev. Moses Eliakim Ndege, Past. Isack A. Gomugo, Past. Mathias William, Rev. Yekonia M. Koko, Rev. Elisande Mhanga, Ev. James A. Makula.

This translation is made available to you under the terms of the Creative Commons Attribution Share-Alike license 4.0.

You have permission to share and redistribute this Bible translation in any format and to make reasonable revisions and adaptations of this translation, provided that:

  • You include the above copyright and source information.
  • If you make any changes to the text, you must indicate that you did so in a way that makes it clear that the original licensor is not necessarily endorsing your changes.
  • If you redistribute this text, you must distribute your contributions under the same license as the original.

Credits: In addition, we would like to give very special thanks to eBible.org for making Swahili Unlocked Literal Bible available in MySQL format.


Mwanzo 49:1 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha Yakobo akawaita wana wake, na kusema: “Jikusanyeni pamoja, ili niwaambie yatakayowapata nyakati zijazo.

Mwanzo 49:2 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kusanyikeni ninyi wenyewe na msikilize, enyi wana wa Yakobo. Msikilizeni Israeli, baba yenu.

Mwanzo 49:3 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Reubeni, wewe ni mzaliwa wangu wa kwanza, nguvu zangu, na mwanzo wa uwezo wangu, aliyesalia katika heshima na nguvu.

Mwanzo 49:4 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Asiyezuilika kama maji yarukayo, hautakuwa na umaharufu, kwa sababu ulikwenda juu ya kitanda cha baba yako. Hata ukakitia unajisi; ulikipanda kwa kuvizia.

Mwanzo 49:5 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Simoni na Lawi ni ndugu. Panga zao ni silaha za vurugu.

Mwanzo 49:6 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ee nafsi yangu, usiingie barazani pao; usiingie katika mikutano yao, kwani moyo wangu unaheshima kubwa kwa ajili yao. Kwani katika hasira yao waliua watu. Iliwapendeza kuwakata visigino ng'ombe.

Mwanzo 49:7 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hasira yao na ilaaniwe, kwani ilikuwa kali - na ukali wao, kwani ulikuwa ni katili. Nitawagawa katika Yakobo na kuwatawanya katika Israeli.

Mwanzo 49:8 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yuda, ndugu zako watakusifu. Mkono wako utakuwa shingoni mwa adui zako. Wana wa baba yako watainama mbele zako

Mwanzo 49:9 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yuda ni mwana simba. Mwanangu, umetoka katika mawindo yako. Alisimama chini, alijikunyata kama simba, kama simba jike. Je nana atakayejaribu kumwamsha?

Mwanzo 49:10 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Fimbo haitaondoka katika Yuda, wala fimbo ya utawala kutoka katika miguu yake, hata atakapo kuja Shilo. Mataifa yatamtii.

Mwanzo 49:11 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kumfunga punda wake kwenye mzabibu, na mwanapunda wake katika mzabibu mzuri, amefua mavazi yake katika divai, na kanzu yake katika damu ya vichala vya mzabibu.

Mwanzo 49:12 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Macho yake yatakuwa mausi kama mvinyo, na meno yake meupe kama maziwa.

Mwanzo 49:13 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Zabuloni atakaa katika fukwe ya bahari. Atakuwa bandari kwa ajili ya meli, na mpaka wake utakuwa hata Sidoni.

Mwanzo 49:14 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Isakari ni punda mwenye nguvu, ajilazaye kati ya kondoo.

Mwanzo 49:15 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Anaona mahali pazuri pa kupumzikia na nchi ya kupendeza. Atainamisha bega lake kwa mzigo na kuwa mtumishi wake.

Mwanzo 49:16 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Dani atawaamua watu wake kama mojawapo ya makabila ya Israeli.

Mwanzo 49:17 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Dani atakuwa nyoka kando ya njia, nyoka mwenye sumu aumaye visigino vya farasi katika njia, hivyo aongozaye farasi huanguka nyuma.

Mwanzo 49:19 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Gadi - wapanda farasi watamshambulia, lakini yeye atawapiga katika visigino vyao.

Mwanzo 49:20 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Vyakula vya Asheri vitakuwa vingi, naye ataandaa vyakula vya kifalme.

Mwanzo 49:21 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Naftali ni dubu jike asiyefungwa; atakuwa na watoto wa dubu walio wazuri.

Mwanzo 49:22 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yusufu ni tawi lizaalo, tawi lizaalo karibu na kijito, ambaye matawi yake yako juu wa ukuta.

Mwanzo 49:23 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mpiga mishale atamshambulia na kumrushia na kumsumbua.

Mwanzo 49:24 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini upinde wake utakuwa imara, na mikono yake itakuwa hodari kwa sababu ya mikono ya Mwenyenguvu wa Yakobo, kwa ajili ya jina la Mchungaji, Mwamba wa Israeli.

Mwanzo 49:25 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mungu wa baba yako atakusaidia na Mungu Mwenye enzi atakubariki kwa baraka mbinguni juu, baraka za vilindi vilivyo chini, na baraka za maziwa na tumbo.

Mwanzo 49:26 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Baraka za baba yako ni kuu kuliko baraka za milima ya zamani au vitu vilivyotamaniwa vya milima ya kale. Na viwe katika kichwa cha Yusufu, hata juu ya taji ya kifalme kichwani pa ndugu zake.

Mwanzo 49:27 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Benjamini ni mbwamwitu mwenye njaa. Wakati wa asubuhi atalarua mawindo, na jioni atagawa mateka.”

Mwanzo 49:28 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Haya ni makabila kumi na mbili ya Israeli. Hiki ndicho baba yao alichowambia alipowabariki. Aliwabariki kila mmoja kwa baraka iliyomstahili.

Mwanzo 49:29 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha akawaelekeza na kuwaambia, “Ninakaribia kwenda kwa watu wangu. Mnizike pamoja na babu zangu katika pango lililoko katika shamba la Efroni Mhiti,

Mwanzo 49:30 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
katika pango lililo katika shamba la Makpela, karibu na Mamre katika nchi ya Kanaani, shamba Ibrahimu alilolinunua kwa Efron Mhiti kwa ajili ya eneo la kuzikia.

Mwanzo 49:31 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Pale walimzika Ibrahimu na Sara mkewe; pale wakamzika Isaka na Rebeka mkewe; na pale nikamzika Lea.

Mwanzo 49:32 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Shamba na pango lililomo lilinunuliwa kutoka kwa watu wa Hethi.”

Mwanzo 49:33 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yakobo alipomaliza maagizo hayo kwa wanawe, akaiweka miguu yake kitandani, akakata roho, akawaendea watu wake
Previous Chapter
« Mwanzo 48 (SWHULB)
Next Chapter
Mwanzo 50 (SWHULB) »

Available Bible Translations

American Standard Version
Genesis 49 (ASV) »
King James Version
Genesis 49 (KJV) »
GOD’S WORD® (GW)
Genesis 49 (GW) »
World English Bible
Genesis 49 (WEB) »
Louis Segond 1910
Genèse 49 (LSG) »
Luther Bibel 1912
Genesis 49 (LUTH1912) »
इंडियन रिवाइज्ड वर्जन - हिंदी
उत्पत्ति 49 (HINIRV) »
ਭਾਰਤੀ ਸੋਧਿਆ ਹੋਇਆ ਸੰਸਕਰਣ - ਪੰਜਾਬੀ
ਪੈਦਾਇਸ਼ 49 (PANIRV) »
ভারতীয় সংশোধিত সংস্করণ - বাংলা
আদি 49 (BENIRV) »
இந்தியன் ரீவைஸ்டு வேர்ஷன் - தமிழ்
ஆதியாகமம் 49 (TAMIRV) »
इंडियन रिवाइज्ड वर्जन - मराठी
उत्पत्ति 49 (MARIRV) »
ఇండియన్ రేవిజ్డ్ వెర్షన్ - తెలుగు
ఆదికాండం 49 (TELIRV) »
ઇન્ડિયન રિવાયઝ્ડ વર્ઝન - ગુજરાતી
ઉત્પત્તિ 49 (GUJIRV) »
ಭಾರತೀಯ ಪರಿಷ್ಕೃತ ಆವೃತ್ತಿ - ಕನ್ನಡ
ಆದಿಕಾಂಡ 49 (KANIRV) »
الكتاب المقدس باللغة العربية، فان دايك
اَلتَّكْوِينُ 49 (AVD) »
תנ ך עברי מודרני
בראשית 49 (HEB) »
Bíblia Sagrada Português
Gênesis 49 (BSL) »
Kinh Thánh: Tiếng Việt
Sáng Thế 49 (VIE) »
Reina Valera Antigua
Génesis 49 (RVA) »
La Sacra Bibbia
Genesi 49 (RIV) »
圣 经 简体中文和合本
创 世 纪 49 (CUVS) »
聖 經 繁體中文和合本
創 世 記 49 (CUVT) »
Bibla e Shenjtë
Zanafilla 49 (ALB) »
Svenska Bibeln 1917
1 Mosebok 49 (SV1917) »
Библия на русском
Бытие 49 (RUSV) »
Українська Біблія
Буття 49 (UKR) »
Szent Biblia - Magyar
1 Mózes 49 (KAR) »
Българска Библия
Битие 49 (BULG) »
聖書 日本語
創世記 49 (JPN) »
Kitaabka Quduuska Ah
Bilowgii 49 (SOM) »
De Heilige Schrift
Genesis 49 (NLD) »

Mwanzo (SWHULB) Chapter Selection

SWHULB Book Selection List