Mwanzo Chapter 18 SWHULB Bible Verse Images

Mwanzo 18 Bible Verse Pictures. Choose from a large collection of inspirational, motivational and encouraging Bible verses with pictures of nature. Download and share Mwanzo 18 inspirational Bible verse images. Bible verse pictures were created based on verses from the Swahili Unlocked Literal Bible (SWHULB). The Holy Bible in the Swahili language, Unlocked Literal Bible version.

Copyright © 2019 Door43 World Missions Community
Language: Kiswahili (Swahili)
Translation by: Door43 World Missions Community

Contributors: Alfred Danjuma, Bariki Malisa, Christina Abraham Kileo, Cloud Roman, Daniel Marura Chacha, Dina Mast, Dina Roman, Donald Shadarck Dutuyi, Emmanuel Masanja Mbaaga, Emmanuel Nyamalya, Erasmus Peter Malelo, Ev. Lazaro Chalomhola, Ezekiel Manala, Fred, Gabriel Gidale Merus, Gabriel Lwitakubi Mazige, James Makula, James Semnkai, Jeremiah Masasi, Jesse Katabi Masolwa, John Ojasi, Joyce Gilbert Masasi, Karen Riecks, Kazwanomo, Kennedy, Ker, Lameck Yakobo Tobotobo, Laurent Petro Malelo, Lazarus David Chalomhola, Makene Mafwele, Marco Luma Mahushi, Mathew Nkusa, Mathias William, Mr. James Semnkai .It., Musa Isaya Majama, Musa Luzali, Pastor John Kerim, Pastor Jordan, Philipo Mussa Kanwelle, Raphael Musa, Rev. Charles Mabisa, Rev. Yohana Batano, Robert Ndalahwa, Sadiki Kulwa, Samson Nungwana, Thobias Kazwanomo, Yohana Dutuyi, Yohana Magera, Zelote Loilang'akaki Lukumay, Rev. Erasmus Peter Malelo, Ev. Mathew Kazimoto, Rev. Dr. David Magoke, Rev. Elias Ndema, Rev. Alex Nyuri, Rev. Gungutu Elias, Rev. Lameck Tobotobo, Rev. Catherin D. Matia, Rev. Yohana S Dutuyi, Rev. Donald Dutuyi, GS. Andrew Gewe, Ev. Ezekiel Daudi, Rev. John Ndaluka, Ev. Moses Malugu, Rev. Moses Eliakim Ndege, Past. Isack A. Gomugo, Past. Mathias William, Rev. Yekonia M. Koko, Rev. Elisande Mhanga, Ev. James A. Makula.

This translation is made available to you under the terms of the Creative Commons Attribution Share-Alike license 4.0.

You have permission to share and redistribute this Bible translation in any format and to make reasonable revisions and adaptations of this translation, provided that:

  • You include the above copyright and source information.
  • If you make any changes to the text, you must indicate that you did so in a way that makes it clear that the original licensor is not necessarily endorsing your changes.
  • If you redistribute this text, you must distribute your contributions under the same license as the original.

Credits: In addition, we would like to give very special thanks to eBible.org for making Swahili Unlocked Literal Bible available in MySQL format.


Mwanzo 18:1 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yahwe alimtokea Abraham katika Mialoni ya Mamre, alipokua ameketi mlangoni pa hema wakati wa jua.

Mwanzo 18:2 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Akatazama juu na, tazama, akaona wanaume watatu wamesimama mbele yake. Alipo waona, alikimbia kupitia mlango wa hema kuwalaki na kuinama chini hadi ardhini.

Mwanzo 18:3 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Akasema, “Bwana, kama nimepata upendelea machoni pako, nakuomba usinipite na kuniacha mtumishi wako.

Mwanzo 18:4 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Naomba maji kidogo yaletwe, mnawe miguu yenu, na mjipumzishe chini ya mti.

Mwanzo 18:5 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Nami acha nilete chakula kidogo, ili kwamba mjiburudishe wenyewe. Ndipo baadae mwaweza kwenda zenu, kwa kuwa mmekuja kwa mtumishi wenu.” Nao wakasema, “Fanya kama ulivyo sema.”

Mwanzo 18:6 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha Abraham akaenda upesi hemani kwa Sara, na akasema, “Harakisha, chukua vipimo vitatu vya unga safi, uukande, na fanya mkate.”

Mwanzo 18:7 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha Abraham akakimbia kundini, akachukua ndama wa ng'ombe aliye laini na mzuri, na akampatia mtumishi na kwa haraka akamwandaa.

Mwanzo 18:8 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Akatwaa siagi na maziwa na ndama aliye kwisha andaliwa, na akaweka chakula mbele yao, naye akasimama karibu nao chini ya mti wakati wanakula.

Mwanzo 18:9 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wakamwambia, “Mke wako Sara yuko wapi?” akajibu. “pale hemani.”

Mwanzo 18:10 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
akasema, “Hakika nitarejea kwako majira ya machipuko, na tazama Sara mkeo atakuwa na mtoto wa kiume.” Sara alikuwa akisikiliza mlangoni pa hema iliyokuwa nyuma yake.

Mwanzo 18:11 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Abraham na Sara walikuwa wazee, umri wao ulikuwa umeendelea sana, na Sara alikuwa amepita umri ambao mwanamke anaweza kuzaa watoto.

Mwanzo 18:12 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa hiyo Sara akajicheka mwenyewe, akijisemesha mwenyewe, “baada ya kuwa nimechakaa na bwana wangu ni mzee, je ni tapata furaha hii?”

Mwanzo 18:13 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yahwe akamwambia Abraham, “Kwa nini Sara amecheka na kusema, Je ni kweli nitazaa mtoto, nikiwa mzee'?

Mwanzo 18:14 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Je kuna jambo lolote gumu sana kwa Yahwe? Itakuwa katika wakati nilioweka mimi majira ya machipuko, nitarejea kwako. Majira haya mwakani Sara atakuwa na mtoto wa kiume.”

Mwanzo 18:15 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha Sara akakataa na kusema, “sikucheka,” kwa kuwa aliogopa. Yahwe akasema, “hapana ulicheka.”

Mwanzo 18:16 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha wale wanaume walisimama kuondoka na wakatazama chini kuelekea Sodoma. Abraham akafuatana nao kuona njia yao.

Mwanzo 18:17 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini Yahwe akasema, Je ni mfiche Abraham kile ninacho kusudia kufanya,

Mwanzo 18:18 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ikiwa kwa hakika Abraham atakuwa mkuu na taifa lenye nguvu, na katika yeye mataifa yote ya dunia watabarikiwa?

Mwanzo 18:19 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa kuwa nimemchagua ili awaelekeze wanawe na nyumba yake baada yake waishike njia ya Yahwe, watende utakatifu na haki, ili kwamba Yahwe ampatie Abraham yale aliyo yasema kwake.”

Mwanzo 18:20 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha Yahwe akasema, “Kwa sababu kilio cha Sodoma na Gomora ni kikuu, na kwa kuwa dhambi yao ni kubwa,

Mwanzo 18:21 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
sasa nitashuka pale na kuona kilio kilicho nifikia dhidi yake, ikiwa kweli wamefanya au hawakufanya, nitajua.”

Mwanzo 18:22 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa hiyo wale wanaume wakageuka toka pale, na kuelekea Sodoma, lakini Abraham akabaki amesimama mbele ya Yahwe.

Mwanzo 18:23 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha Abraham alikaribia na kusema, “Je utawafutilia mbali watakatifu pamoja na waovu?

Mwanzo 18:24 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Huenda wakawepo wenye haki hamsini katika mji. Je utawakatilia mbali na usiuache mji kwa ajili ya hao watakatifu hamsini walioko hapo?

Mwanzo 18:25 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hasha usifanye hivyo, kuwauwa watakatifu pamoja na waovu, ili kwamba watakatifu watendewe sawa na waovu. Hasha! Je muhukumu wa ulimwengu wote hatatenda haki?”

Mwanzo 18:26 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yahwe akasema, “Katika Sodoma nikipata watakatifu hamsini kwenye mji, nita uacha mji wote kwa ajili ya hao.”

Mwanzo 18:27 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Abraham akajibu na kusema, “Tazama, Nimeshika kusema na Bwana wangu, hata kama mimi ni mavumbi na majivu!

Mwanzo 18:28 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Itakuwaje ikiwa kuna watano pungufu katika idadi ya hao watakatifu hamsini? Je utaangamiza mji wote kwa upungufu wa hao watano?” Akasema, “Sitaangamiza, ikiwa nitapata watu arobaini na watano pale.”

Mwanzo 18:29 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Akaongea naye tena, na kusema, “Itakuwaje ikiwa arobaini watapatikana pale?” Akajibu, “Sitafanya kwa ajili ya hao arobaini.”

Mwanzo 18:30 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Akasema, Tafadhali usikasirike, Bwana, nikiongea. Pengine thelathini watapatikana pale.” Akajibu, 'Sitafanya, ikiwa nitapata thelathini pale.”

Mwanzo 18:31 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Akasema, Tazama, Nimeshika kusema na Bwana wangu! Pengine ishirini watapatikana pale.” Akajibu, “Sitaharibu kwa ajili ya hao ishirini.”

Mwanzo 18:32 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Akasema, “Tafadhali usikasirike, Bwana, na nitasema jambo hili kwa mara ya mwisho. Huenda kumi wakaonekana kule.” Na akasema, sitaangamiza kwa ajili ya hao kumi.”

Mwanzo 18:33 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yahwe akaendelea na njia yake mara tu baada ya kumaliza kuongea na Abraham, na Abraham akarudi nyumbani.
Previous Chapter
« Mwanzo 17 (SWHULB)
Next Chapter
Mwanzo 19 (SWHULB) »

Available Bible Translations

American Standard Version
Genesis 18 (ASV) »
King James Version
Genesis 18 (KJV) »
GOD’S WORD® (GW)
Genesis 18 (GW) »
World English Bible
Genesis 18 (WEB) »
Louis Segond 1910
Genèse 18 (LSG) »
Luther Bibel 1912
Genesis 18 (LUTH1912) »
इंडियन रिवाइज्ड वर्जन - हिंदी
उत्पत्ति 18 (HINIRV) »
ਭਾਰਤੀ ਸੋਧਿਆ ਹੋਇਆ ਸੰਸਕਰਣ - ਪੰਜਾਬੀ
ਪੈਦਾਇਸ਼ 18 (PANIRV) »
ভারতীয় সংশোধিত সংস্করণ - বাংলা
আদি 18 (BENIRV) »
இந்தியன் ரீவைஸ்டு வேர்ஷன் - தமிழ்
ஆதியாகமம் 18 (TAMIRV) »
इंडियन रिवाइज्ड वर्जन - मराठी
उत्पत्ति 18 (MARIRV) »
ఇండియన్ రేవిజ్డ్ వెర్షన్ - తెలుగు
ఆదికాండం 18 (TELIRV) »
ઇન્ડિયન રિવાયઝ્ડ વર્ઝન - ગુજરાતી
ઉત્પત્તિ 18 (GUJIRV) »
ಭಾರತೀಯ ಪರಿಷ್ಕೃತ ಆವೃತ್ತಿ - ಕನ್ನಡ
ಆದಿಕಾಂಡ 18 (KANIRV) »
الكتاب المقدس باللغة العربية، فان دايك
اَلتَّكْوِينُ 18 (AVD) »
תנ ך עברי מודרני
בראשית 18 (HEB) »
Bíblia Sagrada Português
Gênesis 18 (BSL) »
Kinh Thánh: Tiếng Việt
Sáng Thế 18 (VIE) »
Reina Valera Antigua
Génesis 18 (RVA) »
La Sacra Bibbia
Genesi 18 (RIV) »
圣 经 简体中文和合本
创 世 纪 18 (CUVS) »
聖 經 繁體中文和合本
創 世 記 18 (CUVT) »
Bibla e Shenjtë
Zanafilla 18 (ALB) »
Svenska Bibeln 1917
1 Mosebok 18 (SV1917) »
Библия на русском
Бытие 18 (RUSV) »
Українська Біблія
Буття 18 (UKR) »
Szent Biblia - Magyar
1 Mózes 18 (KAR) »
Българска Библия
Битие 18 (BULG) »
聖書 日本語
創世記 18 (JPN) »
Kitaabka Quduuska Ah
Bilowgii 18 (SOM) »
De Heilige Schrift
Genesis 18 (NLD) »

Mwanzo (SWHULB) Chapter Selection

SWHULB Book Selection List