Matendo ya Mitume 19 SWHULB
Matendo ya Mitume Chapter 19 SWHULB Bible Verse Images
Copyright © 2019 Door43 World Missions Community
Language: Kiswahili (Swahili)
Translation by: Door43 World Missions Community
Contributors: Alfred Danjuma, Bariki Malisa, Christina Abraham Kileo, Cloud Roman, Daniel Marura Chacha, Dina Mast, Dina Roman, Donald Shadarck Dutuyi, Emmanuel Masanja Mbaaga, Emmanuel Nyamalya, Erasmus Peter Malelo, Ev. Lazaro Chalomhola, Ezekiel Manala, Fred, Gabriel Gidale Merus, Gabriel Lwitakubi Mazige, James Makula, James Semnkai, Jeremiah Masasi, Jesse Katabi Masolwa, John Ojasi, Joyce Gilbert Masasi, Karen Riecks, Kazwanomo, Kennedy, Ker, Lameck Yakobo Tobotobo, Laurent Petro Malelo, Lazarus David Chalomhola, Makene Mafwele, Marco Luma Mahushi, Mathew Nkusa, Mathias William, Mr. James Semnkai .It., Musa Isaya Majama, Musa Luzali, Pastor John Kerim, Pastor Jordan, Philipo Mussa Kanwelle, Raphael Musa, Rev. Charles Mabisa, Rev. Yohana Batano, Robert Ndalahwa, Sadiki Kulwa, Samson Nungwana, Thobias Kazwanomo, Yohana Dutuyi, Yohana Magera, Zelote Loilang'akaki Lukumay, Rev. Erasmus Peter Malelo, Ev. Mathew Kazimoto, Rev. Dr. David Magoke, Rev. Elias Ndema, Rev. Alex Nyuri, Rev. Gungutu Elias, Rev. Lameck Tobotobo, Rev. Catherin D. Matia, Rev. Yohana S Dutuyi, Rev. Donald Dutuyi, GS. Andrew Gewe, Ev. Ezekiel Daudi, Rev. John Ndaluka, Ev. Moses Malugu, Rev. Moses Eliakim Ndege, Past. Isack A. Gomugo, Past. Mathias William, Rev. Yekonia M. Koko, Rev. Elisande Mhanga, Ev. James A. Makula.
This translation is made available to you under the terms of the Creative Commons Attribution Share-Alike license 4.0.
You have permission to share and redistribute this Bible translation in any format and to make reasonable revisions and adaptations of this translation, provided that:
- You include the above copyright and source information.
- If you make any changes to the text, you must indicate that you did so in a way that makes it clear that the original licensor is not necessarily endorsing your changes.
- If you redistribute this text, you must distribute your contributions under the same license as the original.
Credits: In addition, we would like to give very special thanks to eBible.org for making Swahili Unlocked Literal Bible available in MySQL format.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ikawa kwamba Apolo alipokuwa Korintho, Paulo akapita nyanda za juu na kufika katika mji wa Efeso, na akakuta wanafunzi kadhaa huko.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Paulo akawaambia, “Je, mlipokea Roho Mtakatifu mlipoamini?” Wakamwambia, “Hapana, hatukuweza hata kusikia kuhusu Roho Mtakatifu.”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Paul alisema, “Sasa ninyi mlibatizwaje?” Wakasema, “Katika ubatizo wa Yohana.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Basi Paulo akajibu, “Yohana alibatiza kwa ubatizo wa toba. Akawaambia wale watu kwamba wanapaswa kumwamini yule ambaye angekuja baada yake, yaani, Yesu.”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Watu waliposikia habari hii, wakabatizwa kwa jina la Bwana Yesu.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Na ikawa Paulo alipoweka mikono yake juu yao, Roho Mtakatifu akaja juu yao na wakaanza kunena kwa lugha na kutabiri.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Jumla yao walikuwa wanaume wapatao kumi na wawili.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Paulo alienda katika sinagogi akanena kwa ujasiri kwa muda wa miezi mitatu. Alikuwa akiongoza majadiliano na kuwavuta watu kuhusu mambo yanayohusu ufalme wa Mungu.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini Wayahudi wengine walikuwa wakaidi na wasiotii, walianza kusema mabaya kuhusu njia ya Kristo mbele ya umati. Basi Paulo aliachana nao na akawatenga waaminio mbali nao. Naye alianza kuongea kila siku katika ukumbi wa Tirano.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hii iliendelea kwa miaka miwili, kwa hiyo wote waliokuwa wanaishi katika Asia walisikia neno la Bwana, wote Wayahudi na Wayunani.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mungu alikuwa akifanya matendo makuu kwa mikono ya Paulo,
Square Portrait Landscape 4K UHD
kwamba hata wagonjwa waliponywa, na roho chafu waliwatoka, wakati walipochukua leso na nguo zilizotoka mwilini mwa Paulo.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini palikuwapo Wayahudi wapunga pepo wakisafiri kupitia eneo hilo, wakilitumia jina la Yesu kwa ajili ya matumizi yao wenyewe. Wakiwaambia wale walikuwa na pepo wachafu; Wakisema, “Ninawaamuru mtoke kwa jina la Yesu ambaye Paulo anamhubiri.”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Waliofanya haya walikuwa wana saba wa kuhani Mkuu wa Kiyahudi, Skewa.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Roho wachafu wakawajibu, “Yesu namjua, na Paulo namjua; lakini ninyi ni nani? “
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yule roho mchafu ndani ya mtu akawarukia wapunga pepo na akawashinda nguvu na kuwapiga. Ndipo wakakimbia kutoka ile nyumba wakiwa uchi na kujeruhiwa.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Jambo hili likajulikana kwa wote, Wayahudi na Wayunani, ambao waliishi huko Efeso. Wakawa na hofu sana, na jina la Bwana likazidi kuheshimiwa.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Pia, wengi wa waumini walikuja na wakaungama na wakidhihirisha matendo mabaya waliyoyafanya.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wengi waliokuwa wakifanya uganga wakakusanya vitabu vyao, wakavichoma mbele ya kila mtu. Wakati wao walipohesabu thamani ya vitu hivyo, ilikuwa vipande hamsini elfu vya fedha.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hivyo Neno la Bwana likaenea kwa upana sana katika nguvu.
Square Portrait Landscape 4K UHD
ya Paulo kukamilisha huduma yake kule Efeso, Roho akamwongoza kwenda Yerusalemu kupitia Makedonia na Akaya; Akasema, “Baada ya kuwako huko, yanipasa kuiona Rumi pia.”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Paul akawatuma Makedonia wanafunzi wake wawili, Timotheo na Erasto, ambao walikuwa wamemsaidia. Lakini yeye mwenyewe akabaki Asia kwa muda.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wakati huo kulitokea ghasia kubwa huko Efeso kuhusu ile Njia.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Sonara mmoja jina lake Demetrio, ambaye aliyetengeneza visanamu vya fedha vya mungu Diana, alileta biashara kubwa kwa mafundi.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hivyo akawakusanya mafundi wa kazi hiyo na kusema, “Waheshimiwa, mnajua kwamba katika biashara hii sisi tunaingiza pesa nyingi.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mnaona na kusikia kwamba, si tu hapa Efeso, bali karibia Asia yote, huyu Paulo amewashawishi na kuwageuza watu wengi. Anasema kwamba hakuna miungu ambayo imefanywa kwa mikono.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Na si tu iko hatari kwamba biashara yetu itakuwa haihitajiki tena, lakini pia na hekalu la mungu mke aliye mkuu Diana anaweza kuchukuliwa kuwa hana maana. Tena angeweza hata kupoteza ukuu wake, yeye ambaye Asia na dunia humwabudu.”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Waliposikia haya, walijawa na hasira na wakapiga kelele, wakisema, “Diana wa Waefeso ni mkuu.”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mji wote ukajaa ghasia, na watu wakakimbia pamoja ndani ya ukumbi wa michezo. wakawakamata wasafiri wenzake na Paulo, Gayo na Aristariko, waliotoka Makedonia.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Paulo alitaka kuingia katika umati wa watu, lakini wanafunzi walimzuia.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Pia, baadhi ya maafisa wa mkoa wa Asia ambao walikuwa marafiki zake wakampelekea ujumbe kwa nguvu kumwomba asiingie katika ukumbi wa michezo.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Baadhi ya watu walikuwa wakisema kitu hiki na wengine jambo lile, kwa sababu umati wa watu ulikuwa umechanganyikiwa. Wengi wao hawakuweza hata kujua kwa nini walikuja pamoja.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wayahudi wakamleta Iskanda nje ya umati wa watu na kumuweka juu mbele ya watu. Iskanda akatoa ishara kwa mkono wake kutoa maelezo kwa watu.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini walipotambua kuwa yeye ni Myahudi, wote wakapiga kelele kwa sauti moja kwa muda wa saa mbili, “Diana ni mkuu wa Wafeso.”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Baada ya karani wa mji kuunyamazisha umati, alisema, 'Enyi wanaume wa Efeso, ni nani asiyejua kwamba mji huu wa Efeso ni mtunzaji wa hekalu la Diana mkuu na ile picha ilivyoanguka kutoka mbinguni?
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kuona Basi kwamba mambo haya hayatawezekana, tunapaswa kuwa na utulivu na msifanye chochote kwa haraka.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa maana mmewaita watu hawa hapa mahakamani ambao si wezi wa hekalu wala si wenye kumkufuru mungu wetu mke.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa hiyo, kama Demetrio na mafundi waliopamoja naye wana mashtaka dhidi ya mtu yeyote, mahakama ziko wazi na maliwali wapo. Na waletwe mbele ya shauri.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini kama wewe ukitafuta chochote kuhusu mambo mengine, yatashughurikiwa katika kikao halali.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa kweli tuko katika hatari ya kutuhumiwa kuhusu ghasia siku hii. Hakuna sababu ya machafuko haya, na hatutakuwa na uwezo wa kuyaeleza.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Baada ya kusema haya, aliwatawanya makutano.
Available Bible Translations
Acts 19 (ASV) »
Acts 19 (KJV) »
Acts 19 (GW) »
Acts 19 (BSB) »
Acts 19 (WEB) »
Actes 19 (LSG) »
Apostelgeschichte 19 (LUTH1912) »
प्रेरितों के काम 19 (HINIRV) »
ਰਸੂਲਾਂ ਦੇ ਕਰਤੱਬ 19 (PANIRV) »
पশিষ্যচরিত 19 (BENIRV) »
அப்போஸ்தலருடைய நடபடிகள் 19 (TAMIRV) »
प्रेषितांचीं कृत्यें 19 (MARIRV) »
అపొస్తలుల కార్యములు 19 (TELIRV) »
પ્રેરિતોનાં ક્રત્યો 19 (GUJIRV) »
ಅಪೊಸ್ತಲರ ಕೃತ್ಯಗಳು 19 (KANIRV) »
أَعْمَالُ ٱلرُّسُلِ 19 (AVD) »
מעשי השליחים 19 (HEB) »
Atos 19 (BSL) »
Công Vụ Các Sứ đồ 19 (VIE) »
Hechos 19 (RVA) »
Atti 19 (RIV) »
使 徒 行 传 19 (CUVS) »
使 徒 行 傳 19 (CUVT) »
Veprat e Apostujve 19 (ALB) »
Apostlagärningarna 19 (SV1917) »
Деяния 19 (RUSV) »
Дії 19 (UKR) »
Apostolok 19 (KAR) »
Деяния 19 (BULG) »
使徒行伝 19 (JPN) »
Apostlenes gjerninger 19 (NORSK) »
Dzieje 19 (POLUBG) »
Falimaha Rasuullada 19 (SOM) »
Handelingen 19 (NLD) »
Apostlenes Gerninger 19 (DA1871) »