Matendo ya Mitume 15 SWHULB
Matendo ya Mitume Chapter 15 SWHULB Bible Verse Images
Copyright © 2019 Door43 World Missions Community
Language: Kiswahili (Swahili)
Translation by: Door43 World Missions Community
Contributors: Alfred Danjuma, Bariki Malisa, Christina Abraham Kileo, Cloud Roman, Daniel Marura Chacha, Dina Mast, Dina Roman, Donald Shadarck Dutuyi, Emmanuel Masanja Mbaaga, Emmanuel Nyamalya, Erasmus Peter Malelo, Ev. Lazaro Chalomhola, Ezekiel Manala, Fred, Gabriel Gidale Merus, Gabriel Lwitakubi Mazige, James Makula, James Semnkai, Jeremiah Masasi, Jesse Katabi Masolwa, John Ojasi, Joyce Gilbert Masasi, Karen Riecks, Kazwanomo, Kennedy, Ker, Lameck Yakobo Tobotobo, Laurent Petro Malelo, Lazarus David Chalomhola, Makene Mafwele, Marco Luma Mahushi, Mathew Nkusa, Mathias William, Mr. James Semnkai .It., Musa Isaya Majama, Musa Luzali, Pastor John Kerim, Pastor Jordan, Philipo Mussa Kanwelle, Raphael Musa, Rev. Charles Mabisa, Rev. Yohana Batano, Robert Ndalahwa, Sadiki Kulwa, Samson Nungwana, Thobias Kazwanomo, Yohana Dutuyi, Yohana Magera, Zelote Loilang'akaki Lukumay, Rev. Erasmus Peter Malelo, Ev. Mathew Kazimoto, Rev. Dr. David Magoke, Rev. Elias Ndema, Rev. Alex Nyuri, Rev. Gungutu Elias, Rev. Lameck Tobotobo, Rev. Catherin D. Matia, Rev. Yohana S Dutuyi, Rev. Donald Dutuyi, GS. Andrew Gewe, Ev. Ezekiel Daudi, Rev. John Ndaluka, Ev. Moses Malugu, Rev. Moses Eliakim Ndege, Past. Isack A. Gomugo, Past. Mathias William, Rev. Yekonia M. Koko, Rev. Elisande Mhanga, Ev. James A. Makula.
This translation is made available to you under the terms of the Creative Commons Attribution Share-Alike license 4.0.
You have permission to share and redistribute this Bible translation in any format and to make reasonable revisions and adaptations of this translation, provided that:
- You include the above copyright and source information.
- If you make any changes to the text, you must indicate that you did so in a way that makes it clear that the original licensor is not necessarily endorsing your changes.
- If you redistribute this text, you must distribute your contributions under the same license as the original.
Credits: In addition, we would like to give very special thanks to eBible.org for making Swahili Unlocked Literal Bible available in MySQL format.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Watu fulani walishuka kutoka Uyahudi na kuwafundisha ndugu, wakisema, “msipotahiriwa kama desturi ya Musa, hamwezi kuokolewa.”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wakati Paulo na Barnaba walipokuwa na mapambano na mjadala pamoja nao, ndugu waliamua kwamba Paulo, Barnaba, na wengine kadhaa waende Yerusalem kwa mitume na wazee kwa ajili ya swali hili.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa hiyo, kwa kutumwa kwao na kanisa, walipitia Foinike na Samaria wakitangaza kugeuzwa nia kwa wamataifa. Walileta furaha kuu kwa ndugu wote,
Square Portrait Landscape 4K UHD
Walipokuja Yerusalem, walikaribishwa na Kanisa na mitume na wazee, na waliwasilisha taarifa ya mambo yote ambayo Mungu amefanya pamoja nao.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini watu fulani walioamini, waliokuwa katika kundi la Mafarisayo, walisimama nakusema, “ni muhimu kuwatahiri na kuwaamuru waishike sheria ya Musa.”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hivyo mitume na wazee walisimama pamoja kulifikiria hili swala.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Baada ya majadiliano marefu, Petro alisimama na kusema kwao, “Ndugu mwatambua kwamba kitambo kizuri kilichopita Mungu alifanya chaguo kati yenu, kwamba kwa mdomo wangu Mataifa wasikie neno la injili, na kuamini.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mungu, anayefahamu mioyo, anashuhudia kwao, anawapa Roho mtakatifu, kama alivyofanya kwetu;
Square Portrait Landscape 4K UHD
na hakutengeneza utofauti kati yetu na wao, akiifanya mioyo yao safi kwa imani.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa hiyo, kwa nini mnamjaribu Mungu kwamba muweke nira juu ya shingo za wanafunzi ambayo hata baba zetu wala sisi hatukuweza kustahimili?
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini twaamini kwamba tutaokolewa kwa neema ya Bwana Yesu, kama walivyokuwa.”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kusanyiko lote lilinyamaza walipokua wakimsikiliza Barnaba na Paulo walipokuwa wakitoa taarifa ya ishara na maajabu ambayo Mungu alifanya pamoja nao kati ya watu wa mataifa.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Walipoacha kuongea, Yakobo alijibu akisema, “Ndugu nisikilizeni.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Simoni ameelezea jinsi kwanza Mungu kwa neema aliwasaidia Mataifa ili kwamba ajipatie kutoka kwao watu kwa ajili ya jina lake.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Maneno ya manabii yanakubaliana na hili kama lilivyoandikwa.
Square Portrait Landscape 4K UHD
'Baada ya mambo haya nitarudi na kuijenga tena hema ya Daudi, iliyoanguka chini; nitainua na kuhuisha uhararibifu wake,
Square Portrait Landscape 4K UHD
ili kwamba watu waliobaki wamtafute Bwana, pamoja na watu wa Mataifa walioitwa kwa jina langu.'
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hivi ndivyo asemavyo Bwana aliyefanya mambo haya yajulikanayo tangu enzi za zamani.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hivyo basi, ushauri wangu ni, kwamba tusiwapatie shida watu wa Mataifa wamgeukiao Mungu;
Square Portrait Landscape 4K UHD
lakini tuandike kwao kwamba wajiepushe mbali na uharibifu wa sanamu, tamaa za uasherati, na vilivyonyongwa, na damu.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kutoka vizazi vya wazee kuna watu katika kila mji wahubirio na kumsoma Musa katika masinagogi kila Sabato.”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa hiyo ikaonekana kuwa imewapendeza mitume na wazee, pamoja na kanisa lote, kumchagua Yuda aliyeitwa Barsaba, na Silas, waliokuwa viongozi wa kanisa, na kuwatuma Antiokia pamoja na Paulo na Barnaba.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Waliandika hivi, “Mitume, wazee na ndugu, kwa ndugu wa Mataifa walioko Antiokia, Shamu na Kilikia, salamu.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Tulisika kwamba watu fulani ambao hatukuwapatia amri hiyo, walitoka kwetu na wamewataabisha kwa mafundisho yaletayo shida nafsini mwenu.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa hiyo imeonekana vyema kwetu sote kuchagua watu na kuwatuma kwenu pamoja na wapendwa wetu Barnaba na Paulo,
Square Portrait Landscape 4K UHD
watu walio hatarisha maisha yao kwa ajili ya jina la Bwana Yesu Kristo.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa hiyo tumemtuma Yuda na Sila, watawaambia mambo yayo hayo.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa kuwa ilionekana vyema kwa Roho Mtakatifu na kwetu, kutoweka juu yenu mzigo mkubwa kuliko mambo haya yaliyo ya lazima:
Square Portrait Landscape 4K UHD
kwamba mgeuke kutoka kwenye vitu vitolewavyo kwa sanamu, damu, vitu vya kunyongwa, na uasherati. Kama mtajiweka mbali na hivi, itakuwa vyema kwenu. Kwa herini.”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hivyo basi, walivyotawanyishwa, waliteremkia Antiokia; baada ya kukusanya kusanyiko pamoja, waliwasilisha barua.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Walipokua wameisoma, walifurahi kwa sababu ya kutiwa moyo.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yuda na Sila, na manabii, waliwatia moyo ndugu kwa maneno mengi na kuwatia nguvu.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Baada ya kukaa muda fulani huko, walitawanyishwa kwa amani kutoka kwa ndugu kwa wale waliowatuma.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini ilionekana vyema Sila kubaki huko
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini Paulo na wengine walikaa Antiokia pamoja na wengine wengi, ambapo walifundisha na kuhubiri neno la Bwana.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Baada ya siku kadhaa Paulo alisema kwa Barnaba, “Na turudi sasa na kuwatembelea ndugu katika kila mji tulipohubiri neno la Bwana, na kuwaona walivyo.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Barnaba alihitaji pia kumchukua pamoja nao Yohana aliyeitwa Marko.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini Paulo alifikiria haikuwa vizuri kumchukua Marko, aliyewaacha huko Pamfilia na hakuendelea nao katika kazi.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha hapo kukatokea mabishano makubwa kwa hiyo walitengana, na Barnaba alimchukua Marko na kusafiri kwa meli mpaka Kipro,
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini Paulo alimchagua Sila na kuondoka, baada ya kukabidhiwa na ndugu katika neema ya Bwana.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Na alienda kupitia Shamu na Kilikia, akiimarisha makanisa.
Available Bible Translations
Acts 15 (ASV) »
Acts 15 (KJV) »
Acts 15 (GW) »
Acts 15 (BSB) »
Acts 15 (WEB) »
Actes 15 (LSG) »
Apostelgeschichte 15 (LUTH1912) »
प्रेरितों के काम 15 (HINIRV) »
ਰਸੂਲਾਂ ਦੇ ਕਰਤੱਬ 15 (PANIRV) »
पশিষ্যচরিত 15 (BENIRV) »
அப்போஸ்தலருடைய நடபடிகள் 15 (TAMIRV) »
प्रेषितांचीं कृत्यें 15 (MARIRV) »
అపొస్తలుల కార్యములు 15 (TELIRV) »
પ્રેરિતોનાં ક્રત્યો 15 (GUJIRV) »
ಅಪೊಸ್ತಲರ ಕೃತ್ಯಗಳು 15 (KANIRV) »
أَعْمَالُ ٱلرُّسُلِ 15 (AVD) »
מעשי השליחים 15 (HEB) »
Atos 15 (BSL) »
Công Vụ Các Sứ đồ 15 (VIE) »
Hechos 15 (RVA) »
Atti 15 (RIV) »
使 徒 行 传 15 (CUVS) »
使 徒 行 傳 15 (CUVT) »
Veprat e Apostujve 15 (ALB) »
Apostlagärningarna 15 (SV1917) »
Деяния 15 (RUSV) »
Дії 15 (UKR) »
Apostolok 15 (KAR) »
Деяния 15 (BULG) »
使徒行伝 15 (JPN) »
Apostlenes gjerninger 15 (NORSK) »
Dzieje 15 (POLUBG) »
Falimaha Rasuullada 15 (SOM) »
Handelingen 15 (NLD) »
Apostlenes Gerninger 15 (DA1871) »