Luka 20 SWHULB
Luka Chapter 20 SWHULB Bible Verse Images
Copyright © 2019 Door43 World Missions Community
Language: Kiswahili (Swahili)
Translation by: Door43 World Missions Community
Contributors: Alfred Danjuma, Bariki Malisa, Christina Abraham Kileo, Cloud Roman, Daniel Marura Chacha, Dina Mast, Dina Roman, Donald Shadarck Dutuyi, Emmanuel Masanja Mbaaga, Emmanuel Nyamalya, Erasmus Peter Malelo, Ev. Lazaro Chalomhola, Ezekiel Manala, Fred, Gabriel Gidale Merus, Gabriel Lwitakubi Mazige, James Makula, James Semnkai, Jeremiah Masasi, Jesse Katabi Masolwa, John Ojasi, Joyce Gilbert Masasi, Karen Riecks, Kazwanomo, Kennedy, Ker, Lameck Yakobo Tobotobo, Laurent Petro Malelo, Lazarus David Chalomhola, Makene Mafwele, Marco Luma Mahushi, Mathew Nkusa, Mathias William, Mr. James Semnkai .It., Musa Isaya Majama, Musa Luzali, Pastor John Kerim, Pastor Jordan, Philipo Mussa Kanwelle, Raphael Musa, Rev. Charles Mabisa, Rev. Yohana Batano, Robert Ndalahwa, Sadiki Kulwa, Samson Nungwana, Thobias Kazwanomo, Yohana Dutuyi, Yohana Magera, Zelote Loilang'akaki Lukumay, Rev. Erasmus Peter Malelo, Ev. Mathew Kazimoto, Rev. Dr. David Magoke, Rev. Elias Ndema, Rev. Alex Nyuri, Rev. Gungutu Elias, Rev. Lameck Tobotobo, Rev. Catherin D. Matia, Rev. Yohana S Dutuyi, Rev. Donald Dutuyi, GS. Andrew Gewe, Ev. Ezekiel Daudi, Rev. John Ndaluka, Ev. Moses Malugu, Rev. Moses Eliakim Ndege, Past. Isack A. Gomugo, Past. Mathias William, Rev. Yekonia M. Koko, Rev. Elisande Mhanga, Ev. James A. Makula.
This translation is made available to you under the terms of the Creative Commons Attribution Share-Alike license 4.0.
You have permission to share and redistribute this Bible translation in any format and to make reasonable revisions and adaptations of this translation, provided that:
- You include the above copyright and source information.
- If you make any changes to the text, you must indicate that you did so in a way that makes it clear that the original licensor is not necessarily endorsing your changes.
- If you redistribute this text, you must distribute your contributions under the same license as the original.
Credits: In addition, we would like to give very special thanks to eBible.org for making Swahili Unlocked Literal Bible available in MySQL format.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ikawa siku moja, Yesu alipokuwa akiwafundisha watu Hekaluni na kuhubiri injili, makuhani wakuu na walimu wa Sheria walimwendea pamoja na wazee.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Walizungumza, wakimwambia, 'Tuambie ni kwa mamlaka gani unafanya mambo haya? Au ni nani huyo ambaye amekupa mamlaka haya? “
Square Portrait Landscape 4K UHD
Naye akajibu, akawaambia, 'Nami pia nitawauliza swali. Niambieni
Square Portrait Landscape 4K UHD
ubatizo wa Yohana. Je, ulitoka mbinguni ama kwa watu? '
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini wakajadiliana wao kwa wao, wakisema, 'Tukisema, `litoka mbinguni, atatuuliza, ` Basi, mbona hamkumwamini?'
Square Portrait Landscape 4K UHD
Na tukisema; ilitoka kwa wanadamu; watu wote hapa watatupiga mawe, maana wote wanaamini kwamba Yohana alikuwa nabii. '
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yesu akawaambia, '“Wala mimi siwaambii ninyi ni kwa mamlaka gani ninafanya mambo haya.”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Aliwaambia watu mfano huu, “Mtu mmoja alipanda shamba la mizabibu, akalikodisha kwa wakulima wa mizabibu, na akaenda nchi nyingine kwa muda mrefu.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa muda uliopangwa, alimtuma mtumishi kwa wakulima mizabibu, kwamba wampe sehemu ya matunda ya shamba la mizabibu. Lakini wakulima wa mzabibu wakampiga, wakamrudisha mikono- mitupu.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha akamtuma tena mtumishi mwingine na nao wakampiga, kumtendea vibaya, na wakamrudisha mikono- mitupu.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Alimtuma tena wa tatu na nao wakamjeruhi na kumtupa nje.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hivyo bwana wa shamba akasema, 'Nitafanya nini? Nitamtuma mwanangu mpendwa. Labda watamheshimu. '
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini wakulima wa mzabibu walipomwona, walijadili wao kwa wao wakisema, `Huyu ndiye mrithi. Tumuue, ili urithi wake uwe wetu. '
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wakamtoa nje ya shamba la mizabibu na kumuua. Je bwana shamba atawafanya nini?
Square Portrait Landscape 4K UHD
Atakuja kuwaangamiza wakulima wa mzabibu, na atawapa shamba hilo wengine”. 'Nao waliposikia hayo, wakasema, 'Mungu amekataa'
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini Yesu akawatazama, akasema, “Je andiko hili lina maana gani? 'Jiwe walilolikataa wajenzi, limekuwa jiwe la pembeni'?
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kila mtu aangukaye juu ya jiwe hilo, atavunjika vipande vipande. Lakini yule ambaye litamwangukia, litamponda. '
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hivyo waandishi na wakuu wa makuhani walitafuta njia ya kumkamata wakati huohuo, walijua kwamba alikuwa amesema mfano huu dhidi yao. Lakini waliwaogopa watu.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Walimuangalia kwa makini, wakatuma wapelelezi waliojifanya kuwa watu wa haki, ili wapate kupata kosa kwa hotuba yake, ili kumpelekakwa watawala na wenye mamlaka.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Nao wakamwuliza, wakisema, “Mwalimu, tunajua kwamba unasema na kufundisha mambo ya kweli na si kushawishiwa na mtu yeyote, lakini wewe hufundisha ukweli kuhusu njia ya Mungu.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Je, ni halali kwetu kulipa kodi kwa Kaisari, au la?”
Square Portrait Landscape 4K UHD
“Nionyesheni dinari. Sura na chapa ya nani ipo juu yake?” Walisema, '“Ya Kaisari.”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Naye akawaambia, 'Basi, mpeni Kaisari yaliyo yake Kaisari, na Mungu yaliyo yake Mungu.'
Square Portrait Landscape 4K UHD
Waandishi na wakuu wa makuhani hawakuwa na uwezo wa kukosoa kile alichosema mbele ya watu. Wakastaajabia majibu yake na hawakusema chochote.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Baadhi ya Masadukayo wakamwendea, wale ambao wanasema kwamba hakuna ufufuo,
Square Portrait Landscape 4K UHD
wakamwuliza, wakisema, “Mwalimu, Musa alituandikia kwamba kama mtu akifiwa na ndugu mwenye mke ambaye hana mtoto basi anapaswa kumchukuna mke wa ndugu yake na kuzaa nae kwa ajili ya kaka yake.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kulikuwa na ndugu saba Wa kwanza alioa, akafa bila kuacha mtoto,
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wa tatu akamchukua vilevile, vivyo hivyo wa saba hakuacha watoto na akafa.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Katika ufufuo atakuwa mke wa nani? Maana wote saba walikuwa wamemwoa. '
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yesu akawaambia, “Wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini wale wanastaohili kupokea ufufuo wa wafu na kuingia uzima wa milele hawaoi wala hawaolewi.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wala hawawezi kufa tena, kwa sababu huwa sawasawa na malaika na ni watoto wa Mungu, wana wa ufufuo.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini hiyo wafu wanafufuliwa, hata Musa alionyesha mahali katika habari za kichaka, pale alimwita Bwana kama Mungu wa Ibrahimu na Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Sasa, yeye si Mungu wa wafu, bali wa walio hai, kwa sababu wote huishi kwake. “
Square Portrait Landscape 4K UHD
Baadhi ya walimu wa Sheria wakamjibu, 'Mwalimu, umejibu vema. '
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yesu akawaambia, “Ki vipi watu wanasema kwamba Kristo ni mwana wa Daudi?
Square Portrait Landscape 4K UHD
Maana Daudi mwenyewe anasema katika Zaburi: Bwana alimwambia Bwana wangu: Keti mkono wa kulia,
Square Portrait Landscape 4K UHD
mpaka niwaweke adui zako chini ya miguu yako. '
Square Portrait Landscape 4K UHD
Daudi anamwita Kristo 'Bwana', basi atakuwaje mwana wa Daudi?”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Watu wote walipokuwa wakimsikiliza akawaambia wanafunzi wake,
Square Portrait Landscape 4K UHD
'Jihadharini na waandishi, wapendao kutembea wamevaa mavazi marefu, na wapenda salamu maalum sokoni na viti vya heshima katika masinagogi, na maeneo ya heshima karamuni.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wao pia hula nyumba za wajane, na wanajifanya wanasali sala ndefu. Hawa watapokea hukumu kubwa zaidi. '
Available Bible Translations
Luke 20 (ASV) »
Luke 20 (KJV) »
Luke 20 (GW) »
Luke 20 (BSB) »
Luke 20 (WEB) »
Luc 20 (LSG) »
Lukas 20 (LUTH1912) »
लूका 20 (HINIRV) »
ਲੂਕਾ 20 (PANIRV) »
লূক 20 (BENIRV) »
லூக்கா 20 (TAMIRV) »
लूक 20 (MARIRV) »
లూకా 20 (TELIRV) »
લૂક 20 (GUJIRV) »
ಲೂಕನು 20 (KANIRV) »
لُوقا 20 (AVD) »
הבשורה על־פי לוקס 20 (HEB) »
Lucas 20 (BSL) »
Lu-ca 20 (VIE) »
Lucas 20 (RVA) »
Luca 20 (RIV) »
路 加 福 音 20 (CUVS) »
路 加 福 音 20 (CUVT) »
Luka 20 (ALB) »
Lukas 20 (SV1917) »
Луки 20 (RUSV) »
Луки 20 (UKR) »
Lukács 20 (KAR) »
Лука 20 (BULG) »
ルカによる福音書 20 (JPN) »
Lukas 20 (NORSK) »
Łukasza 20 (POLUBG) »
Luukos 20 (SOM) »
Lukas 20 (NLD) »
Lukas 20 (DA1871) »