Luka 24 SWHULB
Luka Chapter 24 SWHULB Bible Verse Images
Copyright © 2019 Door43 World Missions Community
Language: Kiswahili (Swahili)
Translation by: Door43 World Missions Community
Contributors: Alfred Danjuma, Bariki Malisa, Christina Abraham Kileo, Cloud Roman, Daniel Marura Chacha, Dina Mast, Dina Roman, Donald Shadarck Dutuyi, Emmanuel Masanja Mbaaga, Emmanuel Nyamalya, Erasmus Peter Malelo, Ev. Lazaro Chalomhola, Ezekiel Manala, Fred, Gabriel Gidale Merus, Gabriel Lwitakubi Mazige, James Makula, James Semnkai, Jeremiah Masasi, Jesse Katabi Masolwa, John Ojasi, Joyce Gilbert Masasi, Karen Riecks, Kazwanomo, Kennedy, Ker, Lameck Yakobo Tobotobo, Laurent Petro Malelo, Lazarus David Chalomhola, Makene Mafwele, Marco Luma Mahushi, Mathew Nkusa, Mathias William, Mr. James Semnkai .It., Musa Isaya Majama, Musa Luzali, Pastor John Kerim, Pastor Jordan, Philipo Mussa Kanwelle, Raphael Musa, Rev. Charles Mabisa, Rev. Yohana Batano, Robert Ndalahwa, Sadiki Kulwa, Samson Nungwana, Thobias Kazwanomo, Yohana Dutuyi, Yohana Magera, Zelote Loilang'akaki Lukumay, Rev. Erasmus Peter Malelo, Ev. Mathew Kazimoto, Rev. Dr. David Magoke, Rev. Elias Ndema, Rev. Alex Nyuri, Rev. Gungutu Elias, Rev. Lameck Tobotobo, Rev. Catherin D. Matia, Rev. Yohana S Dutuyi, Rev. Donald Dutuyi, GS. Andrew Gewe, Ev. Ezekiel Daudi, Rev. John Ndaluka, Ev. Moses Malugu, Rev. Moses Eliakim Ndege, Past. Isack A. Gomugo, Past. Mathias William, Rev. Yekonia M. Koko, Rev. Elisande Mhanga, Ev. James A. Makula.
This translation is made available to you under the terms of the Creative Commons Attribution Share-Alike license 4.0.
You have permission to share and redistribute this Bible translation in any format and to make reasonable revisions and adaptations of this translation, provided that:
- You include the above copyright and source information.
- If you make any changes to the text, you must indicate that you did so in a way that makes it clear that the original licensor is not necessarily endorsing your changes.
- If you redistribute this text, you must distribute your contributions under the same license as the original.
Credits: In addition, we would like to give very special thanks to eBible.org for making Swahili Unlocked Literal Bible available in MySQL format.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mapema sana siku ya kwanza ya juma, walikuja kaburini, wakileta manukato ambayo walikuwa wameyaandaa.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wakaingia ndani, lakini hawakuukuta mwili wa Bwana Yesu.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ilitokea kwamba, wakati wamechanganyikiwa kuhusu hili, ghafla, watu wawili walisimama katikati yao wamevaa mavazi ya kung'aa.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wanawake wakiwa wamejaa hofu na wakiinamisha nyuso zao chini, wakawaambia wanawake, “Kwanini mnamtafuta aliye hai miongoni mwa wafu?
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hayupo hapa, ila amefufuka! Kumbukeni alivyosema nanyi alipokuwa angali Galilaya,
Square Portrait Landscape 4K UHD
akisema kwamba Mwana wa Adamu lazima atolewe kwenye mikono ya watu wenye dhambi na asulubishwe, na siku ya tatu, afufuke tena.”
Square Portrait Landscape 4K UHD
na wakarudi kutoka kaburini na wakawaambia mambo haya yote wale kumi na moja na wengine wote.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Basi Maria Magdalena, Joana, Maria mama wa Yakobo, na wanawake wengine pamoja nao wakatoa taarifa hizi kwa mitume.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini ujumbe huu ukaonekana kama mzaha tu kwa mitume, na hawakuwaamini wale wanawake.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hata hivyo Petro aliamka, na akakimbia kuelekea kaburini, na akichungulia na kuangalia ndani, aliona sanda peke yake. Petro kisha akaondoka akaenda nyumbani kwake, akistaajabu nini ambacho kimetokea.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Na tazama, wawili miongoni mwao walikuwa wakienda siku hiyo hiyo katika kijiji kimoja kiitwacho Emmau, ambacho kilikuwa maili sitini kutoka Yerusalemu.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wakajadiliana wao kwa wao kuhusu mambo yote yaliyotokea.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ikatokea kwamba, wakati walipokuwa wakijadiliana na kuulizana maswali, Yesu akasogea karibu akaambatana nao.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini macho yao yalizuiliwa katika kumtambua yeye.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yesu akawaambia, “Nini ambacho ninyi wawili mnakiongelea wakati mnatembea?” Wakasimama pale wakionekana na huzuni.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mmoja wao, jina lake Cleopa, akamjibu, “Je wewe ni mtu pekee hapa Yerusalemu ambaye hajui mambo yaliyotokea huko siku hizi?”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yesu akawaambia, “Mambo gani?” Wakamjibu, “Mambo kuhusu Yesu Mnazareti, ambaye alikuwa nabii, muweza katika matendo na maneno mbele za Mungu na watu wote.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Na kwa jinsi ambayo wakuu wa makuhani na viongozi wetu walivyomtoa kuhukumiwa kifo na kumsulubisha.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini tulitumaini kwamba yeye ndiye atakaye waweka huru Israeli. Ndiyo, mbali na haya yote, sasa ni siku ya tatu tangu mambo haya yatokee.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini pia, baadhi ya wanawake kutoka katika kundi letu walitushangaza, baada ya kuwapo kaburini asubuhi na mapema.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Walipoukosa mwili wake, wakaja, wakisema kwamba waliona pia maono ya malaika waliosema kwamba yu hai.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Baadhi ya wanaume ambao walikuwa pamoja nasi walienda kaburini, na kukuta ni kama vile wanawake walivyosema. Lakini hawakumuona yeye.”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yesu akawaambia, “Ninyi watu wajinga na wenye mioyo mizito ya kuamini yote ambayo manabii wamesema!
Square Portrait Landscape 4K UHD
Je haikuwa lazima Yesu kuteseka kwa mambo haya, na kuingia katika utukufu wake?”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha kuanzia kutoka kwa Musa na manabii wote, Yesu akawatafsiria mambo yanayomuhusu yeye katika maandiko yote.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Walipokaribia kile kijiji, huko walikokuwa wakienda, Yesu akafanya kana kwamba anaendelea mbele.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini walimlazimisha, wakisema, “Kaa pamoja nasi, maana inaelekea jioni na siku ni kama imeisha.” Hivyo Yesu akaingia kwenda kukaa nao.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ilitokea kwamba, wakati amekaa nao kula, alichukua mkate, akaubariki, na kuuvunja, akawapa.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha macho yao yakafunguliwa, wakamjua, na akatoweka ghafla mbele ya macho yao.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wakasemezana wao kwa wao, “Hivi mioyo yetu haikuwaka ndani yetu, wakati alipoongea nasi njiani, wakati alipotufungulia maandiko?”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wakanyanyuka saa hiyo hiyo, na kurudi Yerusalemu. Wakawakuta wale kumi na mmoja wamekusanyika pamoja, na wale waliokuwa pamoja nao,
Square Portrait Landscape 4K UHD
wakisema, “Bwana amefufuka kwelikweli, na amemtokea Simoni.”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hivyo wakawaambia mambo yaliyotokea njiani, na namna Yesu alivyodhihirishwa kwao katika kuumega mkate.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wakati wakiongea mambo hayo, Yesu mwenyewe alisimama katikati yao, na akawaambia, “Amani iwe kwenu.”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini waliogopa na kujawa na hofu, na wakafikiri kwamba waliona roho.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yesu akawaambia, Kwanini mnafadhaika? Kwanini maswali yanainuka mioyoni mwenu?
Square Portrait Landscape 4K UHD
Angalieni mikono yangu na miguu yangu, kwamba ni mimi mwenyewe. Niguseni na muone. Kwa maana roho haina nyama na mifupa, kama mnionavyo mimi kuwa navyo.”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Alipokwisha kusema hivi, akawaonyesha mikono yake na miguu yake.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Walipokuwa bado na furaha iliyochanganyikana na kutokuamini, na kustaajabu, Yesu akawaambia, “Je mna kitu chochote cha kula?”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Akawaambia, “Nilipokuwa nanyi, niliwaambia kwamba yote yalioandikwa kwenye sheria ya Musa na manabii na Zaburi lazima yatimilike.”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha akafungua akili zao, kwamba waweze kuyaelewa maandiko.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Akawaambia, “Kwamba imeandikwa, Kristo lazima ateseke, na kufufuka tena kutoka katika wafu siku ya tatu.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Na toba na msamaha wa dhambi lazima ihubiriwe kwa jina lake kwa mataifa yote, kuanzia kutokea Yerusalemu.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Angalia, nawapelekea ahadi ya Baba yangu juu yenu. Lakini subirini hapa jijini, mpaka mtakapovishwa nguvu kutoka juu.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha Yesu akawaongoza nje mpaka walipokaribia Bethania. Akainua mikono yake juu, na akawabariki.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ikatokea kwamba, wakati alipokuwa akiwabariki, aliwaacha na akabebwa juu kuelekea mbinguni.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Basi wakamwabudu, na kurudi Yerusalemu na furaha kuu.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Waliendelea kuwepo hekaluni, wakimbariki Mungu.
Available Bible Translations
Luke 24 (ASV) »
Luke 24 (KJV) »
Luke 24 (GW) »
Luke 24 (BSB) »
Luke 24 (WEB) »
Luc 24 (LSG) »
Lukas 24 (LUTH1912) »
लूका 24 (HINIRV) »
ਲੂਕਾ 24 (PANIRV) »
লূক 24 (BENIRV) »
லூக்கா 24 (TAMIRV) »
लूक 24 (MARIRV) »
లూకా 24 (TELIRV) »
લૂક 24 (GUJIRV) »
ಲೂಕನು 24 (KANIRV) »
لُوقا 24 (AVD) »
הבשורה על־פי לוקס 24 (HEB) »
Lucas 24 (BSL) »
Lu-ca 24 (VIE) »
Lucas 24 (RVA) »
Luca 24 (RIV) »
路 加 福 音 24 (CUVS) »
路 加 福 音 24 (CUVT) »
Luka 24 (ALB) »
Lukas 24 (SV1917) »
Луки 24 (RUSV) »
Луки 24 (UKR) »
Lukács 24 (KAR) »
Лука 24 (BULG) »
ルカによる福音書 24 (JPN) »
Lukas 24 (NORSK) »
Łukasza 24 (POLUBG) »
Luukos 24 (SOM) »
Lukas 24 (NLD) »
Lukas 24 (DA1871) »